Tunatengeneza simu online

Tunatengeneza simu online

natengeneza simu online kam ina tatizo kati ya haya yafutayo
1.imezima gafla
2.haitaki kuwaka
3.umeshau password so unataka kuflash
4.imejilock
5.inawaka na kuzima
Na nk kifupi ni tatzo lolote la software
namba yangu hii hapa 0712505049
charging system nokia lumia 820
 
malipo mpaka kazi ifanyike ukizingua tunahack namba yako ufanyi mawasiliano yoyote we na phone book yako mwaka mzima hacking ni somo zuri sana baada ya kupata mafunzo huko uk now naweza vamia hata website ya usalama wa taifa

Una masihala sana wewe! hivi unadhani hii nchi wote ni maboya eeeh!
 
Angalia maneno yako mkuu JF inatembelewa na watu wngi lisije kutokea la kutokea ukatafutwa ndoto zako zikaishia hapa hii Bongo sio UK. Ila kila la kherii na kazi zako.

duuu alafu kweli mkuuu
 
malipo mpaka kazi ifanyike ukizingua tunahack namba yako ufanyi mawasiliano yoyote we na phone book yako mwaka mzima hacking ni somo zuri sana baada ya kupata mafunzo huko uk now naweza vamia hata website ya usalama wa taifa

aiseee,hivi umeangalia na sheria za Tanzania kama zinaruhusu hacking
 
Una masihala sana wewe! hivi unadhani hii nchi wote ni maboya eeeh!

uboya unatoka wapi mkuu jf ni jukwaa la watu walielimika sasa mbona unakua mtu wa ajabu natengeneza simu online kwa njia ya software maintance siji kuifungua wala nini ila kama lina tatizo la softwarw kama niliyoyataja hapo baada ya kupona na ukajiridhidha utanitumia hela yangu ukikimbia hapa kuna mtambo wa kutrec mtu alipo kwa kutumia simu aliyonipigia ndio maana simjibu mtu hapa mpaka anipigie simu kisha unauwezo wa block laini yake for life na phonebook nzima kama atanitapeli
 
fanya research,ur result ndio itakusaidia baadae

mi najua kuna rushwa tu ukiua,ukiiba au ukitapeli mbele ya rushwa hakuna shida

reference,
adrew chenge
kombe
liyumba and other
 
mi najua kuna rushwa tu ukiua,ukiiba au ukitapeli mbele ya rushwa hakuna shida

reference,
adrew chenge
kombe
liyumba and other

hongera kw kufanya research yako
 
Nina simu yangu Samsung galaxy note 3, nimefanya factory reset hatimae Samsung logo imepotea nikiwasha na name hata nikizima, natamani kurudisha logo je utanisaidiaje? cc: chief-mkwawa Ahsanteni!

mkuu hata usihangaike hapo ni umepigwa.. hiyo simu ni clone yani si original after hard reset samsung logo hupotea na inakuletea android logo na MTK..,so izoee hiyo hali bwana Acha Ushamba
 
Last edited by a moderator:
mtaalam nisaidie jinsi ya kutoa screen lock password kwenye samsung galaxy s4 clone,kama haiwezekani nijurishe nisiangaike #asante
 
Nina htc desire z,lna 3g lkn inasoma edge tu,pia tourch wala flash haupigi...
 
watu simu zao zinzpona kunipa hela hawataki so msingaike jamani
ingia google kisha andika how to hard resert kisha taja aina ya simu.....
Kwa mfano how to hard resert nokia e5
majibu yatakuja
 
watu simu zao zinzpona kunipa hela hawataki so msingaike jamani
ingia google kisha andika how to hard resert kisha taja aina ya simu.....
Kwa mfano how to hard resert nokia e5
majibu yatakuja

unazingua hata simu yko haipatikani
 
chukulia kama umefanya kazi na sijakulipa hela sasa hack number yangu na phonebook yangu namba nakupa mwenyewe hii hapa 0774 439364 :smile-big:
 
Hapo mkuu umekomesha. Nadhani huyu haijui teknolojia vizuri ndio maana.

naibrock mkuu watu wanatumika kutukana watu kwa namba za simu zao itakua hiyo ya kuhack tu ndugu yangu poteza mda wako usome mambo ya hack utagundua mambo mengi sana kuanzia luku utatumia bure, vocha na nk kuna siri nzito sana ukiijua utaenjoy
kuna siku niliwahi kutoa siri hapa jinsi ya kuangalia startime bure watu wakawa wanaangalia bure ila nilipata matatizo sana mpaka sasa najuta sitoi tena ila kuna mambo mazuri sana kwenye hacking unapiga hadi hela kwenye atm lakini pesa kidogo ndio hawawezi kujua
 
Back
Top Bottom