Tunateleza na VPN sasa hapa JF

Tunateleza na VPN sasa hapa JF

Kwasababu hazipatikani hivyo ndiyo tusapoti kutiki bila reforms, huku tukijua uchaguzi siyo wa haki?
Kwahiyo MTU akitiki anakuwa amefanya makosa gani huo ni Uhuru wa MTU .

Haujaona Mama Chadema baba Ccm hao wanasiasa unaowaona wao hukutana na kula na kunywa haujaona chadema Mara kibao wakienda ikulu?.
 
Hii sijawahi kuitumia ngoja niijaribu, hebu nitumie picha niione ni ipi
Iko fasta sana, ukigusa imo
Screenshot_20250906-162926.jpg
 
Wafungie na instagram kule yule binti ndo anatema nyongo kali kwa mtu anaeitwa "Kimama"
 
Kwahiyo MTU akitiki anakuwa amefanya makosa gani huo ni Uhuru wa MTU .

Haujaona Mama Chadema baba Ccm hao wanasiasa unaowaona wao hukutana na kula na kunywa haujaona chadema Mara kibao wakienda ikulu?.
Ishu siyo kuwa sisiemu wala chadema mimi naongelea uchaguzi huru na wa haki, watanzania wote tuungane tudai katiba mpya No reforms no election tukatae uhuni
 
Ishu siyo kuwa sisiemu wala chadema mimi naongelea uchaguzi huru na wa haki, watanzania wote tuungane tudai katiba mpya No reforms no election tukatae uhuni
Acha upumbavu unadai katika mpya bila kuingia barabarani unategemea mabadiliko yatapatikana kupiti I'd fake
 
Acha upumbavu unadai katika mpya bila kuingia barabarani unategemea mabadiliko yatapatikana kupiti I'd fake
Tar 29 oktoba ndiyo siku ya maandamano ya kitaifa lazima niandamane, no reforms no election
 
Unajua wakati hii taarifa inatoka VPN yangu huwa connected muda mwingi kwa sababu ya matumizi ya X (twitter)

Nikaona nateleza tu JF sikuelewa

Nikajaribu kuizima VPN na kweli JF haikufunguka

Kwa sasa nikiwa Tanzania VPN ni ON 24/7 kwa ajili ya X na JF
,Kwangu bado iko hai.
Incase of emergency ni vpn gani unatumia mkuu
 
Back
Top Bottom