SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
Wape tu mkuu. Unaogopa nini? Unadhani/unaamini watakifanyia nini? To me, hicho kitovu kikishatoka kwa mtoto hakina tofauti na uchafu mwingine. Ukianza kuamini kuwa ati wanaweza kumdhuru mtoto kama watachukua huo uchafu basi na wewe unaanza kuwa mshirikina. Labda kama unaniambia unahisi hao ndugu wana mpango wa 'kumlisha' huyo mtoto hicho kitovu!Jamani l am not a witchman, I am only protecting my kid, dhidi ya wanaotaka niwape kitovu