Ngoja tuwajulishe wale jamaa wa njia panda Clouds Fm watege vinasa sauti vyao tayariNi kweli kabisa. Wakati wake wa kufunguliwa umefika! ashauriwe asiufanye moyo wake kuwa mgumu. ni bora akianza kutusimulia matumizi ya vitovu vya watoto huko kuzimu!
NATA, kua uyaone mamaMakubwa haya tena, sijawahi ona wala sikia!
Ujinga huu somo, wote ni wazazi nashangaa habari ya kitovu ndio naisikia kwako.Jamani l am not a witchman, I am only protecting my kid, dhidi ya wanaotaka niwape kitovu
Magorofa!!??NATA, kua uyaone mama
Lord Have Mercy! hii tena ni makitu gani? WTF???Kifiche kisha kafukie chini ya mgomba au kiweke katikati ya kwato ya ng'ombe
nakwambia nimechoka na hii habari, khaaaaa! My dada mzima wewe?? Kwema?? Najua nina deni, litaongelewa n autanielewa tu! Salamu kwa bby's hm!mkuu nisikilize kwa makini sana tena fungua masikio yako ya rohoni na macho ya rohoni ili kuskia na kuona.
Mila hizi bado kuna makabiala wanaziendekeza na kaimsingi hayo huishia kwenye kuwajaza watoto maroho ya ajabu ten ya kichawi pasi kujua.
Usitishwe na manaeno ya kwamba eti utalogwa na hakuna wa kukuloga daima as long as wewe sio mshirika wao. Cha kufanya chukua itovu cha mwanao akitume kwenye shimo la choo kama choo ni cha kuflash wewe kiflash fast tena usimwamabie mtu.
Mwambie mkeo najua ni ngumu kumbishia mama yake but wewe uwe firm na hayo mambo kichukue kakitupe na tena yyte yule asijue kiko wapi halafu punguza hao ndugu zako hapo nyumban ondoa wote ubaki na mkeo tu.
Ngoja tuwajulishe wale jamaa wa njia panda Clouds Fm watege vinasa sauti vyao tayari
nakwambia nimechoka na hii habari, khaaaaa! My dada mzima wewe?? Kwema?? Najua nina deni, litaongelewa n autanielewa tu! Salamu kwa bby's hm!
Ndio maana mimi nashangaa habari za vitovu hapa, maana mimi mambo hayo nilishamwachiaga Mama mtoto, sina interest yoyote na mambo ya kienyeji.Pole ndugu wewe kama baba wa familia inabidi uwe na msimamo naona una wakati mgumu sana maana inategemea na mama mtoto imani yake imeinamia wapi?usisahau sala ni nguzo kuu.
Mimi huwa naviflash chooni wala hata siulizagi.