Wadau
Kuna mawaziri na manaibu waziri waliotuhumiwa kutumia madaraka yao vibaya na kuiibia serikali (Sisi walipa kodi). Rais amekubali kuwa hawa jamaa ni wezi na kuwaondoa katika baraza lake la mawaziri.
- Je nini kinafuata kwa hawa jamaa?= Nikula nakunywa kwasaaaaaaaaaaaaaaaana!
- Je wateendelea kuwa mitaani? = Hakuna sehemu nyngne yakutanulia zaidi yakitaa
- Je watendelea na ubunge?= Posho wamwachie nani?
- Je bado wanasifa za kuwakilisha majimbo yao bungeni?=Jibu wanalo wapiga kura wao
- Au watapelekwa mahakamani na kuwaamulu kulipa mali walizoiba?=Wizi hawakuanza wao
Nimawazo yangu