Kumekuwa na usiri siri wa ajabu sana. Kwanza waziri alikuwa anachenga changa mpaka akabanwa na wabunge kuhusu mikataba ya KIA na kuhakikisha kiwanja kinarudi serikalini. Sasa tunasikia kuna mwekezaji kutoka Uarabuni ?. Kama ilivyokuwa bandari
Nasikia kabla ya uwekezaji wanawekwa wanzanzibari mfano kabla ya Dubai port kupewa bandari waziri Mzanzibari ndiye aliyewekwa . Sasa kabla ya uwekezaji wa KIA nasikia Kilimanjaro nako wameweka Mzanzibari sasa sijui kama haya ni ya kweli lakini kikubwa tunaomba uwazi.
Kama kuna uwekezaji tuambiwe sababu ni zipi wakati hatuna shida ya pesa ya airport ambayo imejaa watalii. Je mwekezaji analeta nini cha maana zaidi ya kuzuia soko huru pale kama ilivyokuwa kiasi kwamba tulishidwa hata kuendeleza pale KIA. Je kuna ubaya gani KIA ikawa kama Dar-es-salaam. Na watalii wote hao kwanini KIA mpango wake ni wa siri siri
Nasikia kabla ya uwekezaji wanawekwa wanzanzibari mfano kabla ya Dubai port kupewa bandari waziri Mzanzibari ndiye aliyewekwa . Sasa kabla ya uwekezaji wa KIA nasikia Kilimanjaro nako wameweka Mzanzibari sasa sijui kama haya ni ya kweli lakini kikubwa tunaomba uwazi.
Kama kuna uwekezaji tuambiwe sababu ni zipi wakati hatuna shida ya pesa ya airport ambayo imejaa watalii. Je mwekezaji analeta nini cha maana zaidi ya kuzuia soko huru pale kama ilivyokuwa kiasi kwamba tulishidwa hata kuendeleza pale KIA. Je kuna ubaya gani KIA ikawa kama Dar-es-salaam. Na watalii wote hao kwanini KIA mpango wake ni wa siri siri