Sasa unalia nini ?Muongo mkubwa na mnafiki mkubwa wewe. Kama una ushahidi si ungekuwa umeuweka hapa jukwaani?
Utashi upi ?Ni utashi wa wanachama ndio wameamua iwe hivyo.kwa hiyo maamuzi yao yaheshimiwe tu.
Hapana sikio mimi na sina sababu ya kulia bali nakemea wapotoshaji,wanafiki,malimbukeni na vichwa maji waliopinda na kuishiwa hojaSasa unalia nini ?
Ccm ina vyeo vingi, Mwendazake aligeuza Hadi vyeo vya u ded,das,Balozi nk kuwa vya makadaPolepole aliposema kuwa kwenye mapendekezo ya katiba mpya vyeo vya udc viondolewe alizomewa sana na mambugila wa uvcc lumumba.
Maana walijua kuwa ajira pekee ipo kule.
Ni ndani ya mada,wahamie chama gani ambako hakuna wenyewe?Nje ya mada