Tunapoikataa CCM tuna sababu

Tunapoikataa CCM tuna sababu

Lituye

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
1,864
Reaction score
5,697
Hebu fikiria nchi kama Kongo inapigana Vita miaka na miaka lakini timu yao ya taifa imeingia Nusu fainali mashindano ya mataifa huru Africa.

Tanganyika imetolewa mapema ikiwapeleka akina Mwijaku na Baba Levo uwanjani na wananchi wanalala gizani umeme shida.

CCM haina cha ziada chq kuwafanyia wananchi zaidi ya kulishana sumu.

CCM ni janga la kitaifa.
Maendeleo hayana vyamaa.
 
1980 Wacongoman ndio walikuwa wacheza show jijini Dar

Leo wao wako Nusu fainali Afcon Sisi tuko pale pale walipotuacha.1980s 😂😂
 
WACHINA WANATENGENEZA POMBE FAKE AMBAZO ZINASABABISHA ONGEZEKO LA UGONJWA WA FIGO HUKU NGUVU KAZI ZIKIPOTEA CCM HAWAJALI
 
Hebu fikiria nchi kama Kongo inapigana Vita miaka na miaka lakini timu yao ya taifa imeingia Nusu fainali mashindano ya mataifa huru Africa.

Tanganyika imetolewa mapema ikiwapeleka akina Mwijaku na Baba Levo uwanjani na wananchi wanalala gizani umeme shida.

CCM haina cha ziada chq kuwafanyia wananchi zaidi ya kulishana sumu.

CCM ni janga la kitaifa.
Maendeleo hayana vyamaa.
Chanzo Cha Matatizo = CCM
 
Amani ikiwepo watu wanabweteka sana.
Vita vinahamisha watu kwenda miji mengine nk.
Congo wana watu wametapakaa kila kona ya dunia, kisa ukimbizi.
 
Back
Top Bottom