Lituye
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 1,862
- 5,680
Wanao fikiria kuwa CCM imejifunza kitu kupitia uchaguzi mkuu wa Kenya na watakuwa tayari kufanya marekebisho ktk KATIBA mpya ili tume huru iwepo mnajidanganya.
Kuwaza hivyo ni sawa na kumchukua CHIZI pale hospitali ya Milembe kwenda kumtembeza maeneo ya chuo kikuu halafu ukamrudisha hospital ukitegemea huyo chizi ataonesha tabia njema Kama za watu alio waona chuo kikuu ukiamini kuwa atakuwa amejifunza kitu.
CCM ni waroho wa Madaraka kuliko hata nguruwe aonapo shamba la mihogo, wapo tayari kuuwa kutesa na kuangamiza ili wasaliee madarakani. Hawawezi kuachia Madaraka kwa Amani kwa kutumia makarakasi wenye Akili wajue hivyo.
Kama ktk uchunguzi wa KENYA kungekuwepo matukio Kama ya kupora wapinzani fomu, kuwateka wapinzani, kuwaua, kupitisha wagombe wa serikalli bila kupingwa, kuingia na masangunduku ya kura vituoni kutowapisha mawakala wa upinzani na Ujinga mwingine hapo tungeweza kusema kweli CCM WAMEJIFUNZA.
CCM watatoka madarakani kwa njia Ile inayo tumika pindi mtu akichomwa na mwiba au msumari. Pale mwiba au msumari ingilia ndipo hutolewa kupitia eneo Lile Lile.
CCM wamesha wapuuza wananchi wa nchi hii na kuwafanya mateka na majuha na ndio maana hawaheshimu tena uchaguzi kwa kuwa wanajua fika huwa hawachaguliwi na wananchi na kwa Sasa wanatawala kijeshi chini ya mwamvuli wa demokrasia uchwara na ubazazi.
Ni heri tuwaache CCM watawale kimabavu huku wakijua kuwa hatujawachagua na sisi tukijipanga kuwakabiri kimabavu hata Kama itachukua miaka kumi au ishirini kuwafurumusha kuliko kwenda kupoteza muda kupanga foleni kupiga kura ambayo unajua itahesabiwa na Mahela na genge lake la wanyanga'anyi na kuifanya kutokuwa na thamani.
Maendeleo hayana Vyamaa.
Kuwaza hivyo ni sawa na kumchukua CHIZI pale hospitali ya Milembe kwenda kumtembeza maeneo ya chuo kikuu halafu ukamrudisha hospital ukitegemea huyo chizi ataonesha tabia njema Kama za watu alio waona chuo kikuu ukiamini kuwa atakuwa amejifunza kitu.
CCM ni waroho wa Madaraka kuliko hata nguruwe aonapo shamba la mihogo, wapo tayari kuuwa kutesa na kuangamiza ili wasaliee madarakani. Hawawezi kuachia Madaraka kwa Amani kwa kutumia makarakasi wenye Akili wajue hivyo.
Kama ktk uchunguzi wa KENYA kungekuwepo matukio Kama ya kupora wapinzani fomu, kuwateka wapinzani, kuwaua, kupitisha wagombe wa serikalli bila kupingwa, kuingia na masangunduku ya kura vituoni kutowapisha mawakala wa upinzani na Ujinga mwingine hapo tungeweza kusema kweli CCM WAMEJIFUNZA.
CCM watatoka madarakani kwa njia Ile inayo tumika pindi mtu akichomwa na mwiba au msumari. Pale mwiba au msumari ingilia ndipo hutolewa kupitia eneo Lile Lile.
CCM wamesha wapuuza wananchi wa nchi hii na kuwafanya mateka na majuha na ndio maana hawaheshimu tena uchaguzi kwa kuwa wanajua fika huwa hawachaguliwi na wananchi na kwa Sasa wanatawala kijeshi chini ya mwamvuli wa demokrasia uchwara na ubazazi.
Ni heri tuwaache CCM watawale kimabavu huku wakijua kuwa hatujawachagua na sisi tukijipanga kuwakabiri kimabavu hata Kama itachukua miaka kumi au ishirini kuwafurumusha kuliko kwenda kupoteza muda kupanga foleni kupiga kura ambayo unajua itahesabiwa na Mahela na genge lake la wanyanga'anyi na kuifanya kutokuwa na thamani.
Maendeleo hayana Vyamaa.