Leo nimefika kwenye kituo cha mafuta kuweka mafuta gari langu duuh sikuamini macho yangu. Lita moja ya dizeli nimekuta ni Tshs.2586. Pili nimeenda Benki kuulizia bei ya dollar ya Kimarekani duuh nikakuta dollar moja ni 2350. Nikajiuliza kweli hii ni Tanzania au nimekosea. Kwa kweli tunapoenda siyo pazuri. Serikali chukueni hatua za haraka. Nadhani kuna tatizo mahala fulani. Kweli hii ndiyo Tanzania.