DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,636
- 81,533
NAPENDA KUMSHUKURU MAMA WA AFRICA AU DR SAMIA SULUHU HASSAN KWA KULIVUSHA TAIFA LETU LA TANZANIA SALAMA.
Yakiwa yamebaki masaa machache kuufunga mwaka 2025 na kuukaribisha mwaka 2026, haitokuwa busara na hekima kukaa kimya bila kutoa pongezi zetu za dhati kwa Mama wa AFRICA kama anavyotambulika huko duniani au Dr Samia Suluhu Hassan , kwa kulivusha Taifa letu salama katika mwaka 2025 ambao ulikuwa ni mwaka wa uchaguzi.
Nchi yetu ya TANZANIA imeeendelea kuibeba TUNU ya AMANI , UPENDO , HAKI na mshikamano kwa watu wote.
Pamoja na kujaribiwa tarehe 29/10/2025 na watu wasiokuwa na mapenzi mema na TAIFA letu ila Mama wa AFRICA Dr Samia Suluhu Hassan , alisimama imara na kutuvusha Watanzania wote salama.
Sisi Watanzania hatuna cha kukulipa Wewe Mama wa Africa zaidi ya kukushuru.
Leo hii ikiwa ni siku ya mwisho ya mwaka 2025 tutakesha Makanisani na misikitini tukikuombea ili Mungu tunayemuamini aendelee kukujaza HEKIMA na maarifa zaidi ya kuliongoza TAIFA letu la Tanzania.
Kwa sasa sio wazee , watoto , wamama wala vijana Wote wanazungumza Lugha ya matumaini , furaha na UPENDO kwako.
Happy new year kwako MAMA WA AFRICA DR SAMIA SULUHU HASSAN
AMANI KWANZA
TAIFA KWANZA
ENDELEA KUWA MZALENDO NA ILINDE TASWIRA NZURI YA NCHI YAKO.
🇹🇿🙏🏽🇹🇿
My mesaage 2026
👇🏾
you have to believe that everything that happens in our life is for greatest good nothing happens in our life if we are not prepared to handle It.
It is time to see what is next after that and Usually when things are darkest light it is on its way.
So Don't give up and don't stop to chase ur dreams. Even when the odds are against you for now.
Life is reality so don't cheat the process , always trust the process and embrace the process.
Thank you MAMA AFRICA.🇹🇿🙏🏽🇹🇿
Yakiwa yamebaki masaa machache kuufunga mwaka 2025 na kuukaribisha mwaka 2026, haitokuwa busara na hekima kukaa kimya bila kutoa pongezi zetu za dhati kwa Mama wa AFRICA kama anavyotambulika huko duniani au Dr Samia Suluhu Hassan , kwa kulivusha Taifa letu salama katika mwaka 2025 ambao ulikuwa ni mwaka wa uchaguzi.
Nchi yetu ya TANZANIA imeeendelea kuibeba TUNU ya AMANI , UPENDO , HAKI na mshikamano kwa watu wote.
Pamoja na kujaribiwa tarehe 29/10/2025 na watu wasiokuwa na mapenzi mema na TAIFA letu ila Mama wa AFRICA Dr Samia Suluhu Hassan , alisimama imara na kutuvusha Watanzania wote salama.
Sisi Watanzania hatuna cha kukulipa Wewe Mama wa Africa zaidi ya kukushuru.
Leo hii ikiwa ni siku ya mwisho ya mwaka 2025 tutakesha Makanisani na misikitini tukikuombea ili Mungu tunayemuamini aendelee kukujaza HEKIMA na maarifa zaidi ya kuliongoza TAIFA letu la Tanzania.
Kwa sasa sio wazee , watoto , wamama wala vijana Wote wanazungumza Lugha ya matumaini , furaha na UPENDO kwako.
Happy new year kwako MAMA WA AFRICA DR SAMIA SULUHU HASSAN
AMANI KWANZA
TAIFA KWANZA
ENDELEA KUWA MZALENDO NA ILINDE TASWIRA NZURI YA NCHI YAKO.
🇹🇿🙏🏽🇹🇿
My mesaage 2026
👇🏾
you have to believe that everything that happens in our life is for greatest good nothing happens in our life if we are not prepared to handle It.
It is time to see what is next after that and Usually when things are darkest light it is on its way.
So Don't give up and don't stop to chase ur dreams. Even when the odds are against you for now.
Life is reality so don't cheat the process , always trust the process and embrace the process.
Thank you MAMA AFRICA.🇹🇿🙏🏽🇹🇿