Tunapoelekea kuufunga mwaka 2025 na kuukaribisha mwaka 2026, napenda kumshukuru Rais Samia

Tunapoelekea kuufunga mwaka 2025 na kuukaribisha mwaka 2026, napenda kumshukuru Rais Samia

Unapata wapi ujasiri wa kumshukuru muuaji, mtekaji, mwizi wa kura, mfungaji wa wapinzani wake, mwizi na muuzaji wa raslimali za Watanganyika kwa wajomba zake Waarabu!

Utakuwa una matatizo ya akili bila shaka.

USIKAE MTANDAONI TAZAMA KAZI KUBWA SSH ANAFANYA USIKAE FB, TIKTOK N.K

THE COUNTRY IS SAFE

DO UR RESEARCH FIRST KABLA HAUJAANDIKA CHOCHOTE.
 
Kuna wakati nahisi huyu ni Muwasha-mbwa kwa ID nyingine au tilalilalah. Hii bidii ya kusifia 24 hours inaendana nao.
kazi nzuri inahitaji kusifiwa na huu ni utamaduni wa dunia nzima

n.b usikae online tu ila tembea uone nchi inasonga sana kwa kasi na speed ya ajabu.

wasiwasi wetu je ccm mwaka 2030 watatuletea Rais mwingine mzuri na mwenye hekima kama Mama wa Africa SSH.
 
Usitusemee sisi, mshukuru wew na familia yako! Hana maana yoyote kwetu sisi, tapeli huyo mwizi muuaji
 
Mimi nitoe hapo mimi sipo na wewe

Ndugu shukuru peke yako kwa sabubu ya mazuri anayokutendea

Mimi sina chochote cha kumshukuru

Tena sisi wa Kaskazini anatuchukia sanaaa
 
USIKAE MTANDAONI TAZAMA KAZI KUBWA SSH ANAFANYA USIKAE FB, TIKTOK N.K

THE COUNTRY IS SAFE

DO UR RESEARCH FIRST KABLA HAUJAANDIKA CHOCHOTE.
Utekaji anao ufanya kupitia polisi na wahuni wengine nao unahitaji research! Kumfunga Lissu kwa kesi ya mchongo inahitaji research! Kuua na kuwapoteza wakosoaji wake nayo inahitaji research! Kujitangaza mshindi kwa ushindi wa kupika, vyote hivi vinahitaji research!
 
Utekaji anao ufanya kupitia polisi na wahuni wengine nao unahitaji research! Kumfunga Lissu kwa kesi ya mchongo inahitaji research! Kuua na kuwapoteza wakosoaji wake nayo inahitaji research! Kujitangaza mshindi kwa ushindi wa kupika, vyote hivi vinahitaji research!
usiweke siasa ktk kila kitu
 
Mdogo angu niunge na mie kwenye harakati basi nipate Hela ya kula.dadako nashinda njaa
Kwa post Moja wanalipa 10,000?

Wewe Dada ur not smart , kuandika Makala au maudhui unafikiri ni jambo jepesi?

as well hiyo hela unayosema watu wanalipwa una uhakika?

do you think the richest guy kama mm naweza kulipwa 10K ??

N.B Vijana tuchape kazi na kuwa wazalendo na kuilinda taswira nzuri ya Tanzania
 
Upumbavu na ujinga wa kurogwa umewajaa vijana wa CCM,

Unajuwa kabisa pumzi tu uliyonayo haina mahusiano yoyote na binadamu huyo halafu unamshukuru kuvuka mwaka?

Unamshukuruje mtu ambaye amekuwa sehemu ya kutoa uhai wa Watanzania maelfu?

Mungu, uirehemu Tanzania na watu wake

Kwa niaba ya HAYA LAND HOV na wengine wengi wasiotambua huruma na nguvu zako, uwarehemu Bwana wa Majeshi
MUNGU WETU NI MWEMA SANA .
 
Back
Top Bottom