Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Ufisadi HAUNA FAIDA NA WALA HATUTALIA KWA HILI. hizo perdiem zinawanufaisha zaidi wakubwa kuliko maskini hawa. watu walipwe mishahara yao sahihi huduma ziwepo per diem kama kunufaisha pia zinanufaisha wachache si wote. nia aibu kutetea ufisadi kwa kuwa eti ulikuwa unanufaisha wachache. wacha magufuli awafanyie kazi, washughulikiwe tu no matter wat.