msomi kutoka znz
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 663
- 3,089
namba hazitembei aisee..kuna jamaa yangu kaagiza swift kaweka ndani na chasis number anasubiri E now mwezi wa 6...watu wanauziana sana magari mkonononi..magari ya 3 to 4m number A, B, na C ndo yapo kwenye mizunguko.
