Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Kuna mtu amesajili 999DZE
Wananchi wana hasira
Screenshot_20220513-184043_WhatsApp.jpg
 
Kwa taarifa tu,

Hata mwezi haujaisha toka tuingie DZA leo tuko T 600 DZD+

Bado tuna week nzima kuhitimisha mwezi toka DZA ianze.
zimetembea herufi 5 ndani ya mwezi yani dah😅 sababu jana nimeona audi DZE imepaki kitaa😅
 
Ngoja nikupe mfano hai labda utaelewa uhalisia ulivyo.

Mimi nilisajili gari yangu 1_th September 2021 namba DXE.

Leo hii tupo 10th May 2022 na namba ni DZE.

TOKA September 2021 hadi leo May 2022 ni miezi tisa (9).

Kwa hiyo miezi 9 pekee tumesajili DXE-DXZ,DYA-DYZ na sasa DZA-DZE.

Hiyo miezi 8 ya DZF-DZZ wewe sijui unaitoa kwenye rejea ipi?
Ukipiga kwa wastani wa herufi 5 kila mwezi maana hizo herufi 18 ni mwezi wa 6-9 zimeisha tunaanza E! Hii ndio logic inayo make sense wala sio kuhesabu idadi ya magari.
 
Back
Top Bottom