ASANTE MKUUHazitumiki toka walipoanza TZA!!!
' I' inafanana na moja , 'O'inafanana na sifuri
Unapata namba E Ila ushuru TRA umepanda balaaSasa hvi saa 17:53 kuna meli za mizigo sio chini ya 7 zipo tu bandarini zikiendelea na majukumu ya daily.
E tunaingia june apo kama saiv nimeona DZEMkuu you mean hizi herufi I na O hazitumiki kabisa katika magari? mfano ikifika DZI itarukwa?
Impossible, E mwakaniE tunaingia june apo kama saiv nimeona DZE
Mrejesho takuletea soon🥱Impossible, E mwakani
Sawa mkuuMrejesho takuletea soon🥱
Wananchi wana hasiraKuna mtu amesajili 999DZE
E mwaka huuSasa hvi saa 17:53 kuna meli za mizigo sio chini ya 7 zipo tu bandarini zikiendelea na majukumu ya daily.
Narudia E 2023E mwaka huu
Kutoka hapo mpaka T001 EAA ni gari 17,000. Tutatoboa kabla ya December???Wananchi wana hasiraView attachment 2223157
zimetembea herufi 5 ndani ya mwezi yani dah😅 sababu jana nimeona audi DZE imepaki kitaa😅Kwa taarifa tu,
Hata mwezi haujaisha toka tuingie DZA leo tuko T 600 DZD+
Bado tuna week nzima kuhitimisha mwezi toka DZA ianze.
Ukipiga kwa wastani wa herufi 5 kila mwezi maana hizo herufi 18 ni mwezi wa 6-9 zimeisha tunaanza E! Hii ndio logic inayo make sense wala sio kuhesabu idadi ya magari.Ngoja nikupe mfano hai labda utaelewa uhalisia ulivyo.
Mimi nilisajili gari yangu 1_th September 2021 namba DXE.
Leo hii tupo 10th May 2022 na namba ni DZE.
TOKA September 2021 hadi leo May 2022 ni miezi tisa (9).
Kwa hiyo miezi 9 pekee tumesajili DXE-DXZ,DYA-DYZ na sasa DZA-DZE.
Hiyo miezi 8 ya DZF-DZZ wewe sijui unaitoa kwenye rejea ipi?
Naiona E kabla ya December
Mzee tubeti tu kuwa mwezi wa 10 utafika tukiwa herufi E!Ukizidisha kwa magari 3,000+ kwa meli moja ni hela nyingi
Wengine tuna namba A