BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,042
DW ndo namba inayotamba mjini saiv on trending. Mtu akipita na ka DW kake anavimba sana
B ilianza 2010Mkuu kumbukumbu zako haziko sawa.
Number C zilianza march 2012, zikaenda had sept 2014. C ndiyo iliyokaa muda mfupi zaidi, na ndiyo iliyomezwa na bodaboda
B ilianza 2009 had 2012 march.
Tena ikifika mwaka huo ndio safi, naanza kuchanga kibubu taratibu niibuke na chuma mwaka 2023Kama DW ipo kwenye V, bado DWW , DWX, DWY, DWZ then
DXA mpaka DXZ,
DYA mpaka DYZ,
DZA mpaka DZZ.. Ndio ianza EAA..
Kila serie moja ina T100### mpaka T999### yaani jumla ya vehicles ( magari na matela) jumla vyombo sajiliwa kwa kila serie 900 , kiufupi ukichukua kuanzia
DWW mpaka DWZ ni gari 900x 4 = 3,600
DXA mpaka DXZ ni gari 900 x 26 = 23,400
DYA mpaka DYZ ni gari 900 x 26 = 23,400
DZA mpaka DZZ nazo ni hivyo hivyo 23,400 jumla mpaka kufikia mwisho wa initial D ni jumla ya vyombo vya moto 97,200 .. Kwa hiyo kwa hisia na makisio yangu binafsi ( mtizamo wangu toka kamati ya machale na utabiri usio wa kitaalam) usajili EAA labda katikati kuelekea mwishoni mwa mwaka 2023 . Tuombe uzima huu uzi uendelee kuwepo
D imeteseka sana ....Zimekaa mda mrefu sababu ni waliondoa plan ya pikipiki kuchanganyika na magari! Ndio maana zile B na C hazikudumu mda mrefu. Kwa kumbukumbu C zilianza 2010 bila shaka mpaka kufikia 2014 zikakata zikaanza D!
A zilimezwa na conversion ya magari kutoka TZS 99999 format kwenda T111AAA!
B zilimezwa na usajili wa pikipiki humo humo nazo hazikudumu sana!
C ndio zilikaa almost 4 years zikaisha sababu ya hela ya Jakaya ilikuwepo bado kwenye account na mizunguko ya Watu!
D zilipoanza na mzee Jiwe akawa ameingia mitamboni kuanza kutingisha hali zetu😅 na ndio nahisi atakuwa amekufa nazo mwaka huu maana January lazma tuanze na E!
Yeah nakumbuka hii
Nakubali mana ukokadiria kwa mwaka huwa zinatumika herufi mbili tu...Kama DW ipo kwenye V, bado DWW , DWX, DWY, DWZ then
DXA mpaka DXZ,
DYA mpaka DYZ,
DZA mpaka DZZ.. Ndio ianza EAA..
Kila serie moja ina T100### mpaka T999### yaani jumla ya vehicles ( magari na matela) jumla vyombo sajiliwa kwa kila serie 900 , kiufupi ukichukua kuanzia
DWW mpaka DWZ ni gari 900x 4 = 3,600
DXA mpaka DXZ ni gari 900 x 26 = 23,400
DYA mpaka DYZ ni gari 900 x 26 = 23,400
DZA mpaka DZZ nazo ni hivyo hivyo 23,400 jumla mpaka kufikia mwisho wa initial D ni jumla ya vyombo vya moto 97,200 .. Kwa hiyo kwa hisia na makisio yangu binafsi ( mtizamo wangu toka kamati ya machale na utabiri usio wa kitaalam) usajili EAA labda katikati kuelekea mwishoni mwa mwaka 2023 . Tuombe uzima huu uzi uendelee kuwepo
Kina sie wamiliki wa namba B tufanye fanye tuziuze kabla namba E azijaingiaHahahahah wakati huo wa namba E bora ufike ili zile IST za number D tuuziwe million 5/5 chap chap maana ni nyingi sana 😅!
Yani hali ilivyo sasa hata IST namba DC mtu anakomalia auze million 8 na inauzika fasta! Najiuliza ukija mbadala wa IST ghafla sijui wenye nayo sasa hali itakuwaje!
D zitaanza kuuzwa bei ya mtori kichizi! Ni muda wa kujimilikisha tu bebi woka IST kwa bei nafuu😂😂😂E zikiingia wenye magari ya E watakuwa wanaonekana wajanja sana
Eeh tuuze tuhamiemo kwenye DKina sie wamiliki wa namba B tufanye fanye tuziuze kabla namba E azijaingia
Uibukie namba E!Tena ikifika mwaka huo ndio safi, naanza kuchanga kibubu taratibu niibuke na chuma mwaka 2023
Sasa mzee unataka gari ya bei ya pikipiki si lazima utembelee AXP mjomba 😂Wakti mie niko na namba A aseee
Hesabu yako iko vizuri, ila pigia herufi 24, siyo26.Kama DW ipo kwenye V, bado DWW , DWX, DWY, DWZ then
DXA mpaka DXZ,
DYA mpaka DYZ,
DZA mpaka DZZ.. Ndio ianza EAA..
Kila serie moja ina T100### mpaka T999### yaani jumla ya vehicles ( magari na matela) jumla vyombo sajiliwa kwa kila serie 900 , kiufupi ukichukua kuanzia
DWW mpaka DWZ ni gari 900x 4 = 3,600
DXA mpaka DXZ ni gari 900 x 26 = 23,400
DYA mpaka DYZ ni gari 900 x 26 = 23,400
DZA mpaka DZZ nazo ni hivyo hivyo 23,400 jumla mpaka kufikia mwisho wa initial D ni jumla ya vyombo vya moto 97,200 .. Kwa hiyo kwa hisia na makisio yangu binafsi ( mtizamo wangu toka kamati ya machale na utabiri usio wa kitaalam) usajili EAA labda katikati kuelekea mwishoni mwa mwaka 2023 . Tuombe uzima huu uzi uendelee kuwepo
Kwahio pengine D zitaondoka na mama SamiaNakubali mana ukokadiria kwa mwaka huwa zinatumika herufi mbili tu...
Jamaa angu alisajili DVC novermber mwaka jana ila hadi lei bado tupo DW na haijaisha so hapo DZZ inaeza chukua miaka 2+
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
Sema hesabu bana ni akili tu yani! Hivi vitu ukiwekewa kwenye topic ni vigumu ila uki apply logic ni vyepesi sanaHesabu yako iko vizuri, ila pigia herufi 24, siyo26.
I na O hazitumiki.
DW ndo namba inayotamba mjini saiv on trending. Mtu akipita na ka DW kake anavimba sana