Kwa wote wasiojua kuwa Zakaria Hanspoppe ni miongoni mwa wanajeshi wa nchi ya MKWAWA yan Iringa...nionavyo mimi Hanspoppe ni kati ya watu adimu sana wanaoweza kuifanyia makubwa Iringa Mjini...nawasilisha kwenu wadau!
Kikubwa ni uwezo wake lakini pia CHAMA atakachogombea.. Watu wshachoka chama tawala, hata MKWAWA akifufuka leo akagombee Iringa kwa tiketi y CCM lazima apigwe chini tu