yohana charles
Senior Member
- Mar 21, 2013
- 134
- 10
Kwa wote wasiojua kuwa Zakaria Hanspoppe ni miongoni mwa wanajeshi wa nchi ya MKWAWA yan Iringa...nionavyo mimi Hanspoppe ni kati ya watu adimu sana wanaoweza kuifanyia makubwa Iringa Mjini...nawasilisha kwenu wadau!