Tunaofurahia ujio wa ndege isiyoweza kuruka hata kufika Kenya, tumeliwaza hili?

Kutoka canada mpaka dar...na kutoka Dar Mpaka kericho au hata Busia ni wapi mbali? Mm nawashangaa watz sijui lini mtabadilika...hatukia nayo hata hii ndogo..tuanzie hapo mnapiga kelele nyingi...duh
 
sasa kutoka kanada ilifikaje? tatizo akili zako ni matope you cant even think be a man huwezi sema mambo kama hayo kama unaakili nzuri
 
tulikuwa hatuna ndege mlikuwa mnalalamika,,tumepata ndege still mnalalamika, eti haiwezi kuruka hadi Kenya, vipi ilitokaje Canada kuja hapa Tz, rudi darasani kasome hesabu na km/s na zile hesabu za mwendo, hii ndege ni bonge moja la ndege......
Ndege zilizokuwa za ATC zilienda wapi!?
 
Kuna vitu viwili umejichanganya, kwanza sio kweli kwamba Q400 haiwezi kuruka mpaka Kenya; Inaweza kwenda mpaka hata Adis Ababa. Baada ya hapo nadhani itahitaji refuelling.
Pili Ndege kuikodisha nadhani ni mkakati wa serikali zisiweze kukamatwa zinapokuwa nje ili kufidia madeni ya ATCL. Hii kwangu sikuipenda kama kweli ndio janja yao, Nchi haiwezi kufanya biashara kihuni, walipe madeni ya watu sio kufanya biashara kiujanjaujanja.
Mkuu umenena vyema ...serekali kufanya biashara kihuni sio jambo jema..Labda ndio ushauri wa wataalam kutoka "nyumbani" Rwanda
 
Mtendee wema mbuzi utapiga supu one day lkn sio binadamu,,,hata kama watu tuko wapinzani lkn sio kwa mambo mazuri tujifunze nakusema mema sio kila sk tunawaza negative mind tu na wepesi wa kulaumu
 
Nawashangaa watu ambao mnafurahia ujio wa ndege mpya ya serikali (KUMBUKA HII SIO NDEGE YA ATCL) wakitaka sharti waikodishe. Hii ndege haiwezi kwenda hata nje ya nchi hivyo safari zake zitakuwa za ndani tu.

Sasa najiuliza, kama tulishindwa kupanda fastjet ya 50,000/= hii inayotakiwa kukodishwa tutailipia tshs ngapi?
Sidhan kama kuna UKweli wowote Kuhusu hili...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom