Tunamuondoaje? Tengenezeni Happy hour kwenye baa

chinchilla coat

JF-Expert Member
May 16, 2016
5,107
10,961
Tetesi zimezidi kusambaa kuwa waziri aliyetumbuliwa ni mpango uliosukwa zinazidi kuendelea, mchoraji maarufu wa katuni za kisiasa, Masoud Kipanya naye ametupia kwa staili yake

13256103_10154202472659339_7282421437543552653_n.jpg
 
Ukweli Watanzania tumezidi kwa gossip! Na ukiangalia mijadala mingi unapata shida sana maana inaonekana tunatumia muda mwingi kuongea siasa.
what are we supposed to talk about? it's politicians who run this bitch....so the talk is business and politics
 
Ukweli Watanzania tumezidi kwa gossip! Na ukiangalia mijadala mingi unapata shida sana maana inaonekana tunatumia muda mwingi kuongea siasa.
Siasa ni kila kitu kwenye maisha yetu. Lazima tuiongelee. Kula ni siasa kutembea ni sasa na kulala pia ni siasa. Kumbuka kama wewe uongei siasa una matatizo ya akili.
 
:D:D:Dnoma sana eti mkuu wa band anauliza "anapenda mademu au pombe"?
Kama angekuwa anapenda madem wangemtengenezea fumanizi nini
 
Back
Top Bottom