zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,831
- 8,621
tunaomba Dr.Slaa uje tena JF ajibu maswali ya moja kwa moja,
yapo mengi ya kukuuliza hasa kipindi hiki mfano:-
yapo mengi ya kukuuliza hasa kipindi hiki mfano:-
- giza totoro na majibu mepesi ya rais na mawaziri,
- bahasha la jairo.
- kujivua gamba kwa RA.
- sakata la madiwani wa arusha.
- umaskini unaozidi kukua na gharama za maisha.