Mi huwa nalala nimevaa condom incase ikitokea dharula sehemu muhimu inakuwa covered
Ukishakuwa kwenye ndoa hata kulala na boxer ni vibaya....
ila kulala uchi raha sana, hewa inapita kila sehemu. viungo vinapumua.
umekua kwenye hii thead? Hongera
Ha!ha!haaaaa!!mkuu condom huwa inavaliwa pindi mtutu umesimama au yako any time ipo kikazi zaidi!!!
mmmh.
.
mmmh.
.
Ukishakuwa kwenye ndoa hata kulala na boxer ni vibaya....
ila kulala uchi raha sana, hewa inapita kila sehemu. viungo vinapumua.
Ukishakuwa kwenye ndoa hata kulala na boxer ni vibaya....
Mi huwa nalala nimevaa condom incase ikitokea dharula sehemu muhimu inakuwa covered
Kwenu hakuna panya?
unaogopa bawapopo MankaM?
Siwez lala uchi kabsa,,,nyt dress lzm ihusike daily