Tunalala tu uchi lakini!

Tunalala tu uchi lakini!

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,425
Reaction score
829,778
Jana ilipotimu sita kamili usiku fataki zikaanza kupigwa mnazi mmoja kila mmoja alifikiri lake jirani yangu ambaye kwa vyovyote alikuwa usingizini na akiota ndoto mbaya alikurupuka mpaka nje uchi kabisa huku kashikilia taulo mkononi, dakika mbili hv alipata fahamu na kujifunga taulo lake huku akiuliza kuna nini? Najua fika wanandoa wengi na wapenzi wanalala uchi hasa huku kwenye joto lakini jamani ukumbuke kuna dharura za usiku hivyo bukta, mapajyama na nite dress visicheze mbali na kitanda, ili likitokea la kutokea usipate shida
 
Siwez lala uchi kabsa,,,nyt dress lzm ihusike daily
 
Ni masuala ya kujizoesha hayo sio kwamba ikiwa kwa bed side ndio utaikumbuka aaaan wapi!!!!!

Yataka kujfunza kuwa ikitokea hivi basi naanzia hapa then mengine yatafuata!!!!!!!
Unaweza mpa bukta na akatoka kaitupia kichwani
 
Alichanganyikiwa tu huyo!
Taulo si alikuwa nalo ila alilishika mkononi? Kwa hivyo hata ingekuwa ni bukta angetoka ameishika mkononi pia!!
 
Mi huwa nalala nimevaa condom incase ikitokea dharula sehemu muhimu inakuwa covered
 
Siwezagi kulala na ngua kabisa. Sipendi bughadha yeyeto pindi nikiwa nimelala. napenda full mahewa.
 
Hahahahahaha wakati wa tam tam tam anaivua tukimaliza nairudishia tena
 
Hahahahahaha wakati wa tam tam tam anaivua tukimaliza nairudishia tena

hapo unaharibu radha, inatakiwa mnafanya ukiwa umeivaa hivohivo, hope ni nyepesi na laini sana, inaongeza mzuka, ukishika ziwa ni kama limefichwa kidogo nightdress inatereza, ukishka kiuno booty imefunikwa partially.....loh, kama mmekutana leo kwa mara ya kwanza!
 
Halafu kulala bila nguo muda mwingne ucngz hauji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom