That Gentleman
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,195
- 3,611
Siri ya mafanikio ni SIRI.Kuna wakati tuache kulalamika sana baadala yake tucheze na opportunities hata kama sisi ni wa uswazi tutapenya tu....Ndama mtoto wa ng'ombe, Papaa Msofe, Shikuba, Chonji, Hussein pamba kali, niki wa pili, nk nk hawa wote ni wa uswazi ambao waliamua kupambana kivyao gizani, mwangani, halali, haramu nk leo hii nao ni watu....
Duniani kote hakuna connection na michongo ipo tu, tofauti yao na sisi ni wao kutengeneza mifumo rahisi ya kuishi kwa watu wao...Sasa sisi hio mifumo hatuna, tulale tusubiri CCM itoke hapana ni kuminyana nao tu mwanzo mwisho hata ukiweza kufanya mapinduzi wewe fanya tu uwe Rais kwa namna yako.... Leo hii Haji Manara naye mtu katika watu anatambulika juu mpaka chini...JIKOMBOE...