Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,286
- 10,831
Binafsi nilijua naenda kusikiliza vitu vizito kutoka kwa Polepole. Jina lilikuwa kubwa sana kwamba ni siku inayokwenda kushangaza watu. Watu wakaunda nadharia ya vitu ambavyo viko likely kusikika muda umefika tukapata kitu gani?
Kwanza tukawekwa zaidi ya lisaa na kutoa trafik kwa youtube mmoja. Kisha usiku wa manane mtu anakuja kuongea kwa zaidi ya lisaa vitu ambavyo angeandika kwa post moja ya insta na mambo yakaenda.
Inawezekana kuna kitu, ila hii tabia ya kuaminisha watu kuna jambo zito halafu vinakuja vitu vyepesi vitapelekea mtu kuchokwa mapema.
Kama Polepole ataongea tena, aseme tu ataongea na watanzania, bila kusema kuna mazito au mepesi atayaongea. Wala hakuna kazi, isije ikawa ni mchezo wa kisiasa au ni experiement ya kuangalia watz wanatumia bundles kiasi gani wakiambiwa kuna kitu kikubwa kinakuja.
Kwanza tukawekwa zaidi ya lisaa na kutoa trafik kwa youtube mmoja. Kisha usiku wa manane mtu anakuja kuongea kwa zaidi ya lisaa vitu ambavyo angeandika kwa post moja ya insta na mambo yakaenda.
Inawezekana kuna kitu, ila hii tabia ya kuaminisha watu kuna jambo zito halafu vinakuja vitu vyepesi vitapelekea mtu kuchokwa mapema.
Kama Polepole ataongea tena, aseme tu ataongea na watanzania, bila kusema kuna mazito au mepesi atayaongea. Wala hakuna kazi, isije ikawa ni mchezo wa kisiasa au ni experiement ya kuangalia watz wanatumia bundles kiasi gani wakiambiwa kuna kitu kikubwa kinakuja.