oba
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 310
- 65
Miongoni mwa vitu ambavyo watanzania tumabaki navyo ni lugha yetu ya kiswahili lkn tunakoelekea tunaiua sisi wenyewe, ebu cheki haya makosa tufanyayo kila kuitwapo leo kwa kuiondoa herufi 'h'.
ili= hili
akuna= hakuna
ujambo= hujambo
ujui= hujui
ali hii= hali hii
ekima= hekima
uenda= huenda
n.k n.k n.k, Tujirekebishe jamani!!!!
ili= hili
akuna= hakuna
ujambo= hujambo
ujui= hujui
ali hii= hali hii
ekima= hekima
uenda= huenda
n.k n.k n.k, Tujirekebishe jamani!!!!