CLEVER SQUIRREL
Senior Member
- Feb 20, 2019
- 121
- 119
- Thread starter
- #161
Nakufananisha na wale wamisri ambao walikataa kwenda nchi ya ahadi wakayakumbuka yale masufuria na nyama walizokula kule utumwani Misri kwa Pharaoh.
Bora hata waturudishie Benjamin William Mkapa AMANI ya uhakika UCHUMI kwa wote serikali na kwa wananchi wote wanyonge kwa matajiri, serikali yenye hadhi, japo wanamlaumu kuhusu mashirika ya umma hii ilikuwa sera ya ulimwengu wote hata ulaya mashariki walikumbwa na hizo hasara za mashirika yao.
Tusione vibaya kumrudia mkapa kuliko tena kubahatisha bahatisha hata hao wapinzani akipata usijeshangaa kukumbana na matatizo makubwa zaidi watu hugeuka sio akisemacho ndicho.
Mzee Mkapa bado ana nguvu kwa kipindi hiki tz ilichokutana nacho kwangu mm BORA ZIMU LIKUJUALO. Mzee MKAPA the best solution.

