Tunaitoaje CCM madarakani?

Nyinyi wenyewe wenye vyama dhaifu sisi rai tutakuwaje hapo juzi fulan aritoka kure akaja huku akarudi tena kure amuwoni kwamba nyie ndio tatizo la kwanza ccm atatoka endapo vyama pinzani vyote vikifutwa
 
CCM HAINA SHIDA ! TATIZO NI ANAYEKALIA OFISI!
2020 TWENDE NA BENARD MEMBE KAMILIUS
 
Hivi point ni kuitoa tu ccm maana unaweza ukaitoa ccm na bado sie wananchi tusifaidike na lolote,kwa jinsi tulivyo watanzania nachokiona tunaficha udhaifu wetu kwa kudai tatizo ni ccm kuendelea kuwepo madarakani.
Kwa jinsi ccm inavyozungumziwa ni ajabu bado ina wapenzi ambao ni wafia chama,kwa hali hii inavunja hata nguvu ya kulalamika kuiba kura kwa ccm,tuanze kubadilika kabla ya kubadili chama.
 
Huko kote ulipotaja kuna nini wamekipata baada ya hayo Mapinduzi?

Libya wanachinjana kama Mbuzi Kule Vingunguti
Kule Egypt Al Sisi anapeleka mswaada Bungeni atawale Mpaka 2030 n.k
Bora itoke mengine watu watayajua mbeleni hata wakinjinjana bora kuliko ccm
 
Infantry!
 
ccm inatoka 2020 wamejichanganya sana awamu hii kwakutengeneza ugumu wa maisha umengusa kila Rai ngoja kufika uchaguzi pamoja na wizi wao wa kura miti yote itateleza mwisho wa ccm ni 2020
 
tatizo sisi watanzania ni waoga sana,tukisikia hata sauti ya risasi moja tu kila mmoja anasambaratika,kingine pia upinzani bado hawana mikakati inayoeleweka mfano UKAWA
 
Amani italindwa kwa gharama zote
Kama umeichoka sogea Burundi au Congo

Tanzania kipaumbele cha kwanza ni amani
Ujinga! Kwa hiyo bila CCM hakuna amani Tanzania? Na kwako tafsiri ya amani ni ipi?
 
Kule Tripoli Libya wakati wa Ghadafi walikuwa wakiambiwa issue za amani walikuwa wana kejeli kama wewe sasa hivi Shughuli wanaipata
Sio lazima kila mtu ajue wewe ni mjinga kiasi gani.
We all know waliomuua Gaddafi ni Marekani ili kuzuia "UMOJA WA AFRIKA" ambao Gaddafi alikuwa anataka,
kitu kama Gold Dinar ni habari mbaya sana kwa Federal Reserve na uchumi wa Marekani kiujumla.

Hivi nyie watu wa magogoni, mkiwa huko akili mnaweka matakoni?!! Stupiiiiid!!
 
Mkuu kuanza kuhangaika kumtoa mbowe sasa hivi ni kuwapa points tu CCM, cha muhimu nani tumpe kura zetu 2020 Lissu, Zitto?
Mbowe 2020 ataharibu zaidi kuliko alivyoharibu 2015 atatoa maamuzi ya kubadili gia baharini na Chombo kitazama kabisa.
Mana kilibadili gia angani kikaangukia Baharini , bado kinatapatapa baharini.
Akiendelea 2020 atabadili gia baharini na kuzamisha kabisa Chadema.
Hakuna Mtu mwenye akili Timamu atakayepigania kura za Chadema kwa ajili ya Fisadi.
Bora Twende na ACT Chadema ikae makumbusho na Mbowe.
Hata Jimboni kwake na kanda ya Kaskazini imelemaa kabisa kwa sababu ya Ulemavu na udhaifu wa Mbowe kisiasa.
Zile amamsha amsha za Dr. Slaa ziko wapi!
Mbowe hajiulizi tu kuwa ni kwa nini watu wanataka urais na Chama apewe Lisu aliyeko Hospitalni wakati yeye yupo na ni Mzima was afya. Watu wanatamani Mgonjwa aje hata kesho apewe Chama na Nchi.
Tafsiri yake watu kama taifa sio Chadema pekee wamemchoka sana Mbowe.
Kuna siku Mbowe aliteleza akataja neno demokrasia kwenye Tamko la vyama juu ya kesi waliyofungua ya kupinga sheria ya Msajili.
Alibabaika sana namna ya kulikwepa hilo neno Demokrasia.
Tafuta Clip yake umfuatilie. Usione kuwa tunampinga na hata kumchukia sana Mbowe sio kwa sababu ya Uenyekiti tu Bali kwa dhamira yake Mbaya iliyopo moyoni Mwake.
Huwezi kujenga Chama kwa misingi ya uongo,udikteta,ukabila,udini,vitisho, hasira, hujuma kwa vyama vingine tena vichanga kabisa halafu ukategemea kuwa watakuunga mkono.
Demokrasia ikishamiri ndani ya Chadema hakika na kuambia hata CCM itapukutika, na vyama vingine vitaona mahali pa kukimbilia.

Hivi Zito yupi atakayeiunga mkono Chadema chini ya Mbowe aliyetengeneza kila aina ya hila ili afukuzwe bila huruma ndani ya Chama alichokipigania kwa UDI na uvumba akijua iko Siku atakipeleka mbele zaidi.
Nakumbuka Kwenye kampeni za uchaguzi kule Tabora Zito alivyokua anawanyima usingizi CCM kwa nyomi ya vijana huku akichoma T-shirt za CCM.
Zito ana Nyota ya kung' aa sana kuliko Mbowe anayefuga midevu ya bangi mm... e z.ke.


Mbowe haaminiki kama alimsababishia Mtatiro kukosa Ubunge na wakalikosa wote hakika 2020 kila Chama kitakua na mgombea wake sio kuungana na kuiachia Chadema na Chadema Chini ya Mbowe hata kubali kuwaachia wengini mana wote ni wachanga.

Lisu asikubali kupoteza Muda wake kugombea Urais Chini ya Mwenyekiti Mbowe kwa kuwa atapoteza Ubunge wake huku Mwenzake akipiga hela kutokana na Uenyekiti wa Chama na Ubunge na Msemaji wa kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni.
Mbowe aache utapeli tujenge nchi kwa kujenga imani ya Chama kwa wapiga kura.

Mbowe akae pembeni aone Chama kikijengwa na wenye nia njema.
Tajiri kamwe hajawahi kuwapigania Maskini. Ukiona hivyo ujue kuna Faida ameiona.
Nchi hii ni Lazima vyama hivi viongozwe na watu waliotoka from ziro to hiro kama Magufuli, Zito, Lisu,Mnyika ,Juma Mwalim, n.k. Lakini sio kuongozwa na mzaliwa wa masaki asiyejua shida za watanzania zaidi ya kuwaza ufahari na Kuponda Ruzuku na wanawake.

Bora CCM iendelee miaka 1000 kuliko Chadema Chini ya Mbowe tutajuta sana mana nchi itaendeshwa anavyotaka yeye bila hofu yoyote na mauaji yatakua makubwa sana kwa wale asiowapenda. Mbowe Ni mtu hatari kwa usalama wa wanyonge kuliko kitu chochote unachokijua duniani.
 
Umeongea vitu vya hovyo pu....vu kabisa ma..t. .ko yako
 
Hebu acha mawazo ya kijinga hivi
Wakati mwingine tunaweza kuwapata watumishi wazalendo kama prof Assad kwenye utangazaji wa matokeo akapasua jipu.
Watumishi nao wanachoka.
Na wapo waliotayari kufanya hivyo
Hivyo basi jiandikisheni pigeni kwa wingi mno kuwakataa.
Mpambanaji bora ni yule anaye pambana kila mahali angani ardhini na majini.

Msidhani wote wanaosimamia shughuli za serikali(watumishi) wana mapenzi nao hawa waajiri wanyonyaji?
 
Pumba!
 
Bila kutumia nguvu hiki kikundi Cha mafisadi wachache kitaendelea kukaa madarakani na kuendelea kuamua hatima ya nchi yetu na watoto wetu.Mtu asinishawishi nikapige kura 2020 ila anishawishi tukaiondoe x
Ccm madarakani kwa nguvu hapo tutaelewana
 
So far hakuna kiongozi wa upinzani anayeonesha dalili ya kutumia njia hizo tunasubiri kupiga kura tutumbukie tena kwenye bwawa kama kawaida.
Tatizo la viobgozi wa upinzani Tanzania ni waoga sana wanaogopa kujitoa muhanga mpaka wajitoe muhanga ndio watapata sapoti ya wananchi .The right is not given i n a silver plate .
 
Ingekua ni watu walewale kama mbowe alivyokamata chadema ningekuelewa. Ila ccm ni ile ile ila watu tofauti. Watu hawataki chama kingine wanachotaka ni utulivu na maendeleo. Kama unataka chama tofauti tz hakuna hamia kenya.
 
Kujadili kuitoa Ccm Mamlakani ni sawa na kuchezea Amani kwenye Tundu la choo
Amani ya Tanzania/ Tanganyika ilikuwepo kabla ya TANU na CCM,mkuu watu siku hizi tumesoma hata Kama tumepewa elimu mbovu ambayo haitusaidii zaidi ya kusubiri kuajiriwa but angala tunaelewa.ujinga huu rudisha Lumumba hii ni Karne ya 21 kaka hautafanya kazi
 
Kuifananisha Amerika na Tanzania kwa hatua nchi hizi mbili zilizopitia ni Makosa makubwa sana.
Amerika ime-advance many years ago.

Tuache hayo,wewe kama wewe unawazo gani kuhusu kuitoa ccm madarakani ,tuanze na mtizamo wako kwanza,
Maana kwa upinzani huu wa hawa wachumia tumbo sahau,
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…