Haitasaidia. Ukweli wa mambo is behind close doors.
Leo tunaongelea Udini, ukabila, ukanda CDM, kesho kesho kutwa tutaongelea mengine. Wewe subiri hujionee viroja juu ya viroja. Hili sijasema mimi wala sijalitaka mimi, ila ni sera na uongozi mmbovu wa ccm na serikali yake.
Harakati na hata hoja za siasa ndani ya Tanzania na CCM zitabadilika sana. Tegemea mabadiliko makubwa. Unajua kuwasha moto msitu ni rahisi sana ila kasheshe ipo kwenye kuuzima.
Subiri after 2015.