Tunaitaji watu wenye msimamo kama KAKOBE

Tunaitaji watu wenye msimamo kama KAKOBE

3squere

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
925
Reaction score
181
Askofu KAKOBE ni mtu ambaye anaonekana kuwa na msimamo apa nchini na msimamo yake mingi imekuwa ikipingwa na watu wengi lakini mwisho wa siku ukweli unajulikana na wale waliomsikia wanafaidika wakati waliokaidi wanajuta.

Mfano wa misimamo ni:

- DECI alisema kuwa ni kamari kutoka kusimu wengi walikataa lakini ukweli ukajulikana.

- Kuhusu kikombe cha Babu wa Loliondo akasema hakitoki kwa Mungu ni kumwabudu shetani lakini wengi hawakusikia wakasema ni hofu ya kukimbiwa na washirika lakini ukweli ulijulikana, wengi wamekufa na wengine kuwa hoi kuliko mwanzo.

Sasa kwa hayo machache, tunahitaji mawazo ya mtumishi uyu kwaajili ya maendeleo ya TANZANIA
 
Unamaanisha wale wa BAKWATA hawana kitu vichwani mwao?
 
kartotoise? ah wapi mtumishi wa MUNGU anajulikana kwa matendo yake.
 
Askofu KAKOBE ni mtu ambaye anaonekana kuwa na msimamo apa nchini na msimamo yake mingi imekuwa ikipingwa na watu wengi lakini mwisho wa siku ukweli unajulikana na wale waliomsikia wanafaidika wakati waliokaidi wanajuta
mfano wa misimamo ni
deci alisema kuwa ni kamari kutoka kusimu wengi walikataa lakini ukweli ukajulikana.
Kuhusu kikombe cha babu loliondo aksema akitoki kwa Mungu ni kumwabudu shetani lakini wengi awakusikia wakasema ni ofu ya kukimbiwa na washirika lakini ukweli ulijulikana wengi wamekufa nawengine kuwa hoi kuliko mwanzo.
Sasa kwa ayo machache tunaitaji mawazo ya mtumishi uyu kwaajili ya maendeleo ya TANZANIA
NAWASILISHA.

unaitwa nani vile?
 
I think I'm big mich,larry hover, with work,allelujah one nation under god.........
 
Wahubiri wote wa kada hii, kuaanzia babu wa Lolindo mpaka Kakobe hawana tofauti na Kakobe.

Kakobe au mwingine yeyote kama Kakobe akiwabalasa, amejibalas mwenyewe.

Wote wasanii tu, wanaosema yasiyo na uhakika wala mshiko. Kuna cousin wangu alikuwa anaangalia movies za cowboys vs. indians halafu anaona indians wanavyochukua kipigo. Akawaita Indian Chiefs "Ganga Ongo" - a bit unfair on the part of his more judgemental eye.

Kakobe kwangu mie anaonekana kama ana fight a turf battle na huyo babu wa Loliondo, with the difference being Kakobe ni babu wa Dar na "Babu wa Loliondo" ni wa Loliondo.

Other than that wote matapeli watupu.
 
Wahubiri wote wa kada hii, kuaanzia babu wa Lolindo mpaka Kakobe hawana tofauti na Kakobe.

Kakobe au mwingine yeyote kama Kakobe akiwabalasa, amejibalas mwenyewe.

Wote wasanii tu, wanaosema yasiyo na uhakika wala mshiko. Kuna cousin wangu alikuwa anaangalia movies za cowboys vs. indians halafu anaona indians wanavyochukua kipigo. Akawaita Indian Chiefs "Ganga Ongo" - a bit unfair on the part of his more judgemental eye.

Kakobe kwangu mie anaonekana kama ana fight a turf battle na huyo babu wa Loliondo, with the difference being Kakobe ni babu wa Dar na "Babu wa Loliondo" ni wa Loliondo.

Other than that wote matapeli watupu.
Nimegundua tatizo lako ni Mahubiri ya Ukweli yanayotolewa na Askof Kakobe.Hata Pengo hamutambui Kakobe sembuse wewe?
 
Back
Top Bottom