Tunaipongeza Serikali ya Rais Samia kwa kurejesha mifuko ya plastic!

Leak

JF-Expert Member
Feb 22, 2012
52,211
42,074
Miaka mitano iliyopita serikali ilipiga marufuku mifuko ya plastic kutumika hasa kubebea bidhaa na kulazimisha kutengenezwa mifuko mbadala ya kubebea inayo oza kabisa.
Hili swala la kupigwa marufuku ya mifuko ya plastic lilisimamiwa vilivyo na Mh January Makamba akiwa waziri wa muungano na mazingira!

Baada ya miaka 6 mifuko ya plastic kwaajili ya kubebea bidhaa imeanza kurudi kwa kasi ya 4G na imeanza kuhatarisha viwanda vinavyo tengeneza mifuko mbadala inayo oza au ya karatasi!

Kila mmoja wetu akipita mtaani atakubaliana nami kuwa mifuko ya plastic imerejea na imesha anza kuzoeleka...

Wale wanaopata mahitaji kwa mangi watakubaliana nami kuwa mifuko ya plastic imerudi kwa kasi mtaani!
IMG_0149.jpg




Huu hapo juu ni mfano wa mfuko unaoweza kupewa kwa sasa ukienda kununua bidhaa huu ni kwaajili ya kubebea bidhaa...
 
mh si vibaya kurudisha hii mifuko midogo laini bali tatizo tunalo sisi watumiaji hatuwezi kuihifadhi vizuri baada ta matumizi
 
We msukule wa Jiwe hiyo mifuko ya plastiki inauzwa wapi?
Mifuko ya vitu kama mikate na sukari haikukatazwa tangia
Msukule mkubwa jinyonge ukazikwe Chato
 
Makamba alishupaza shingo kuipiga marufuku mpaka akamwaga ugali. Hii mifuko ina ajenda kubwa nyuma yake.
 
Nimeona mashine moja ya kuchakata plastiki na kuibadilisha kuwa nishati ya mafuta.

Ndugu WaPuerto Ricco wenzangu hiyo sio fursa kweli?
 
Miaka mitano iliyopita serikali ilipiga marufuku mifuko ya plastic kutumika hasa kubebea bidhaa na kulazimisha kutengenezwa mifuko mbadala ya kubebea inayo oza kabisa.
Hili swala la kupigwa marufuku ya mifuko ya plastic lilisimamiwa vilivyo na Mh January Makamba akiwa waziri wa muungano na mazingira!

Baada ya miaka 6 mifuko ya plastic kwaajili ya kubebea bidhaa imeanza kurudi kwa kasi ya 4G na imeanza kuhatarisha viwanda vinavyo tengeneza mifuko mbadala inayo oza au ya karatasi!

Kila mmoja wetu akipita mtaani atakubaliana nami kuwa mifuko ya plastic imerejea na imesha anza kuzoeleka...

Wale wanaopata mahitaji kwa mangi watakubaliana nami kuwa mifuko ya plastic imerudi kwa kasi mtaani!View attachment 2386887



Huu hapo juu ni mfano wa mfuko unaoweza kupewa kwa sasa ukienda kununua bidhaa huu ni kwaajili ya kubebea bidhaa...
Haswa zoezi halikuwezekana hakika.Nasema hivi kwakuwa hawajatokomeza hadi sasa kama swala ni kulinda mazingira kwakuwa rambo haiozi je sukari ya pakti si ipo ktk mifuko,je rasta?Je karatasi za yebo haziharibu mazingira?Vimifuko vipn kibao.
 
Tutakwenda Kuliangalia Na Waziri Wa Nchi Ofisi Ya Makamu Wa Rais Mazingira
Bwana Dkt Seleman Jafo
 
Miaka mitano iliyopita serikali ilipiga marufuku mifuko ya plastic kutumika hasa kubebea bidhaa na kulazimisha kutengenezwa mifuko mbadala ya kubebea inayo oza kabisa.
Hili swala la kupigwa marufuku ya mifuko ya plastic lilisimamiwa vilivyo na Mh January Makamba akiwa waziri wa muungano na mazingira!

Baada ya miaka 6 mifuko ya plastic kwaajili ya kubebea bidhaa imeanza kurudi kwa kasi ya 4G na imeanza kuhatarisha viwanda vinavyo tengeneza mifuko mbadala inayo oza au ya karatasi!

Kila mmoja wetu akipita mtaani atakubaliana nami kuwa mifuko ya plastic imerejea na imesha anza kuzoeleka...

Wale wanaopata mahitaji kwa mangi watakubaliana nami kuwa mifuko ya plastic imerudi kwa kasi mtaani!View attachment 2386887



Huu hapo juu ni mfano wa mfuko unaoweza kupewa kwa sasa ukienda kununua bidhaa huu ni kwaajili ya kubebea bidhaa...
Hivi ni vifungashio Sasa unataka hata ivi wavizuie Rais Samia Suluhu anajua mahitaji ya watanzania
 
Back
Top Bottom