instinct desire
Member
- Mar 17, 2026
- 86
- 122
Sisi watumishi wa umma tunatambua mchango mkubwa wa Mh Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kwetu sisi tangu alipoingia madarakani aliongeza mishahara na kupandisha madaraja yaliyokuwa yamesimama kwa maelfu ya watumishi wa umma.
Leo Mh. Rais Dr Samia Suluhu Hassan, tunakuja kwa unyenyekevu mkubwa kukuomba uwawekee muundo wa kiutumishi walimu wote wenye shahada za pili (masters degree) kwani mpaka sasa hawatambuliki kimuundo Wala kimasilahi.
Mungu Akubariki sana Mh. Rais na serikali Yako.
KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE 🇹🇿
Leo Mh. Rais Dr Samia Suluhu Hassan, tunakuja kwa unyenyekevu mkubwa kukuomba uwawekee muundo wa kiutumishi walimu wote wenye shahada za pili (masters degree) kwani mpaka sasa hawatambuliki kimuundo Wala kimasilahi.
Mungu Akubariki sana Mh. Rais na serikali Yako.
KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE 🇹🇿