onjwayo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 1,346
- 1,303
Wakati tunasubiri kipenga kuanza uchaguzi mkuu, tuliojsliwa kusoma alama za nyakati tunakumbuka Tambo hizi:
1. Sikuchaguliwa ili niongeze mishahara (Rais JPM)
2. Sikuleta tetemeko la ardhi na kwa Nini kila janga Ni lenu (JPM)
3. Nataka Bei ya sukari iteremke Hadi sh. 1800 (JPM )
4. Nataka Tanzania iwe Kama Dubai (JPM)
5. Nitawapiga mashangazi zenu viboko mkiniletea upuuzi (JPM)
6. Jeshi litabangua korosho hata kwa meno (JPM)
7. Nitashughulika na wahujumu uchumi hata awe mke wangu (JPM)
8. Nimekuteua, nakulipa mshahara, nimekupa gari ole wako jimboni kwako utamtangaze moinzani (JPM)
9. Nijenge shule halafu upate mimba, siwezi kusomesha wamama (JPM)
10. Mpinzani hawezi kukanyaga serikali yangu (JPM)
11. Million 50 kila Kijiji (JPM)
12. Hakuna mahala popote nilipozungumzia katiba wakati wa kampeni (JPM)
Tuchambue Ni wapi rahisi alifanya vibaya na wapi alifanya vizuri. Kwa Yale maxuri
1. Ununuzi wa ndege kwa cash
2. Ujenzi SGR bado unaendelea
3. Ujenzi uwanja ndege chato na upanuzi viwanja vingine vya ndege
4. Kukuza na kujaza wanyama hifadhi ya Burigi
5. Kuthibiti mapato ya nchi
6. Deni la taifa kuongezeka
7. Kupaisha taifa kuingia uchumi wa mwisho wa Kati
8. Kudhibiti na kuwaondoa wananchi kuhusu ugonjwa wa Corona
9. Kutokupandisha mishahara ya watumishi lakini kuweka nidhamu kazini
10. Kutoa fedha on the sport kusaidia wenye uhitaji na kugharimia miradi iliyokwama
11. Slogan ya viwanda cherehani 4 tayari kiwanda. Hapa kazi tu
12. Kuwavutia wapinzania kuhamia CCM kuunga juhudi
13. Kutokusafiri nje ya nchi kuokoa fedha
14. Kuongoza kwa kutumbua na kufanya teuzi
15. Kuzunguka nchi nzima kuzindua na kufungua miradi mikubwa
16. Ujenzi wa mahakama kuu kila mkoa
17. Msimamo mkali juu ya siasa za nje
18. Kupita bila kupingwa kwenye chama chake kuwania kiti Cha urais.
Nadhani Tuanze Sasa mjadala
1. Sikuchaguliwa ili niongeze mishahara (Rais JPM)
2. Sikuleta tetemeko la ardhi na kwa Nini kila janga Ni lenu (JPM)
3. Nataka Bei ya sukari iteremke Hadi sh. 1800 (JPM )
4. Nataka Tanzania iwe Kama Dubai (JPM)
5. Nitawapiga mashangazi zenu viboko mkiniletea upuuzi (JPM)
6. Jeshi litabangua korosho hata kwa meno (JPM)
7. Nitashughulika na wahujumu uchumi hata awe mke wangu (JPM)
8. Nimekuteua, nakulipa mshahara, nimekupa gari ole wako jimboni kwako utamtangaze moinzani (JPM)
9. Nijenge shule halafu upate mimba, siwezi kusomesha wamama (JPM)
10. Mpinzani hawezi kukanyaga serikali yangu (JPM)
11. Million 50 kila Kijiji (JPM)
12. Hakuna mahala popote nilipozungumzia katiba wakati wa kampeni (JPM)
Tuchambue Ni wapi rahisi alifanya vibaya na wapi alifanya vizuri. Kwa Yale maxuri
1. Ununuzi wa ndege kwa cash
2. Ujenzi SGR bado unaendelea
3. Ujenzi uwanja ndege chato na upanuzi viwanja vingine vya ndege
4. Kukuza na kujaza wanyama hifadhi ya Burigi
5. Kuthibiti mapato ya nchi
6. Deni la taifa kuongezeka
7. Kupaisha taifa kuingia uchumi wa mwisho wa Kati
8. Kudhibiti na kuwaondoa wananchi kuhusu ugonjwa wa Corona
9. Kutokupandisha mishahara ya watumishi lakini kuweka nidhamu kazini
10. Kutoa fedha on the sport kusaidia wenye uhitaji na kugharimia miradi iliyokwama
11. Slogan ya viwanda cherehani 4 tayari kiwanda. Hapa kazi tu
12. Kuwavutia wapinzania kuhamia CCM kuunga juhudi
13. Kutokusafiri nje ya nchi kuokoa fedha
14. Kuongoza kwa kutumbua na kufanya teuzi
15. Kuzunguka nchi nzima kuzindua na kufungua miradi mikubwa
16. Ujenzi wa mahakama kuu kila mkoa
17. Msimamo mkali juu ya siasa za nje
18. Kupita bila kupingwa kwenye chama chake kuwania kiti Cha urais.
Nadhani Tuanze Sasa mjadala