Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,927
- 6,417
Kwenye mishahara na maslahi ya watumishi imekuwa changamoto. Wamepitia mengi sana ktk kipindi hiki ambayo ni vigumu sana kuyasahau, tangu kutumbuliwa, madaraja na wastaafu.
Cha ajabu pamoja na zote shida still polisi wataichagua ccm ili iendelee kuwanyima haki zao