Tunahitaji kiwanda cha kufinyanga akili za viongozi wetu hasa wa CCM

KISHADA

JF-Expert Member
Oct 18, 2012
2,224
3,290
Pamoja na jitihada za kufufua viwanda kwa ajili ya rasilimali mbali mbali na juhudi za kuanzisha viwanda vipya, nimetafakari sana na kuona umuhimu wa kuwepo kiwanda muhimu cha kufinyanga akili za viongozi wetu hasa wa kitaifa .

Hiki kiwanda ni muhimu maana sasa taasisi za elimu hasa vyuo vikuu vimebainika kuandaa wale wanaoitwa "wapumbavu". Leo ni nwazi kuwa wasomi wetu wamesaliti wanyonge na kukimbilia tabaka tawala na mwishowe kuonekana sasa ni wapumbavu.

Viongozi wetu wa kitaifa wanahitaji kufinyangwa akili zao ili zisipoteze kumbukumbu kwamba jitihada za yote yanayofanywa yilitendwa na viongozi wa CCM hihi hii leo iliyopo madarakani. Ni Viongozi wa nchi waliotokana na CCM ndio waliharibu mikataba na kuruhusu upigaji wa ACCASiIA na makampuni mengine. Ni viongozi hao waliopitisha mikataba mibopvu na hewa na ndio walioruhusu huu unyonyaji kwa nchi yetu.

Hiki kliwanda kiwafundishe viongozi wetu maana ya utu na umoja wa kitaifa namna unavyopaswa kulindwa na kuenziwa. Kifundishe maana ya neno heshima, nidhamu na kutofautishwa na uwoga na uzandiki, chuki na kiburi ambavyo leo vimetamalaki.

Kiufupi hiki kiwanda kisisahauliwe hata kidogo.

Katika viwanda vyote hiki ni muhimu kuliko vyote.



Mungu ibariki Tanzania.
 
ziwepo shule za wanasiasa, wasome bure kuanzia kidato cha kwanza hadi chuo kikuu.
ndio waje kuongoza nchi bila undugu wala kujuana.

bila hivo tutaendelea kuchagua viongozi mafisi hadi mwisho wa dunia.
 
Pamoja na jitihada za kufufua viwanda kwa ajili ya rasilimali mbali mbali na juhudi za kuanzisha viwanda vipya, nimetafakari sana na kuona umuhimu wa kuwepo kiwanda muhimu cha kufinyanga akili za viongozi wetu hasa wa kitaifa .

Hiki kiwanda ni muhimu maana sasa taasisi za elimu hasa vyuo vikuu vimebainika kuandaa wale wanaoitwa "wapumbavu". Leo ni nwazi kuwa wasomi wetu wamesaliti wanyonge na kukimbilia tabaka tawala na mwishowe kuonekana sasa ni wapumbavu.

Viongozi wetu wa kitaifa wanahitaji kufinyangwa akili zao ili zisipoteze kumbukumbu kwamba jitihada za yote yanayofanywa yilitendwa na viongozi wa CCM hihi hii leo iliyopo madarakani. Ni Viongozi wa nchi waliotokana na CCM ndio waliharibu mikataba na kuruhusu upigaji wa ACCASiIA na makampuni mengine. Ni viongozi hao waliopitisha mikataba mibopvu na hewa na ndio walioruhusu huu unyonyaji kwa nchi yetu.

Hiki kliwanda kiwafundishe viongozi wetu maana ya utu na umoja wa kitaifa namna unavyopaswa kulindwa na kuenziwa. Kifundishe maana ya neno heshima, nidhamu na kutofautishwa na uwoga na uzandiki, chuki na kiburi ambavyo leo vimetamalaki.

Kiufupi hiki kiwanda kisisahauliwe hata kidogo.

Katika viwanda vyote hiki ni muhimu kuliko vyote.



Mungu ibariki Tanzania.
Ukiwa CCM huwa kuna utaratibu wa kujitoa Akili.. Hicho kiwanda kitafinyanga nini...!!?

Utasababisha kuongezeka tatizo la mtindio wa ubongo Lumumba...
 
Kabla hujafinyanga akili za ccm ,uwe na kiwanda cha kutibu akili mbovu za chadema
 
ziwepo shule za wanasiasa, wasome bure kuanzia kidato cha kwanza hadi chuo kikuu.
ndio waje kuongoza nchi bila undugu wala kujuana.
comment hii itamkera Mbowe!
images (6).jpg
 
Pamoja na jitihada za kufufua viwanda kwa ajili ya rasilimali mbali mbali na juhudi za kuanzisha viwanda vipya, nimetafakari sana na kuona umuhimu wa kuwepo kiwanda muhimu cha kufinyanga akili za viongozi wetu hasa wa kitaifa .

Hiki kiwanda ni muhimu maana sasa taasisi za elimu hasa vyuo vikuu vimebainika kuandaa wale wanaoitwa "wapumbavu". Leo ni nwazi kuwa wasomi wetu wamesaliti wanyonge na kukimbilia tabaka tawala na mwishowe kuonekana sasa ni wapumbavu.

Viongozi wetu wa kitaifa wanahitaji kufinyangwa akili zao ili zisipoteze kumbukumbu kwamba jitihada za yote yanayofanywa yilitendwa na viongozi wa CCM hihi hii leo iliyopo madarakani. Ni Viongozi wa nchi waliotokana na CCM ndio waliharibu mikataba na kuruhusu upigaji wa ACCASiIA na makampuni mengine. Ni viongozi hao waliopitisha mikataba mibopvu na hewa na ndio walioruhusu huu unyonyaji kwa nchi yetu.

Hiki kliwanda kiwafundishe viongozi wetu maana ya utu na umoja wa kitaifa namna unavyopaswa kulindwa na kuenziwa. Kifundishe maana ya neno heshima, nidhamu na kutofautishwa na uwoga na uzandiki, chuki na kiburi ambavyo leo vimetamalaki.

Kiufupi hiki kiwanda kisisahauliwe hata kidogo.

Katika viwanda vyote hiki ni muhimu kuliko vyote.



Mungu ibariki Tanzania.


Mkuu Umesahau kutueleza nani atakuwa managing director au CEO wa hicho kiwanda, kwa sababu katika zama hizi ni hao hao waliopo kwenye mfumo CCM ndiyo watakao endesha hicho kiwanda na hapo itakuwa ni kama kesi ya nyani kuipeleka kwa ngedere binadamu atapata haki???!!😁😁
 
Nafikiri tusipende ku generalize kuwa kila aliye CCM ni kiongozi mbaya hapo si sawa. Hata upinzani kuko na viongozi mbofu kbs. Tumhukumu mtu binafsi na ubaya wake na si chama. Dunia sio mbaya ila binadamu ndio wabaya.
Pamoja na jitihada za kufufua viwanda kwa ajili ya rasilimali mbali mbali na juhudi za kuanzisha viwanda vipya, nimetafakari sana na kuona umuhimu wa kuwepo kiwanda muhimu cha kufinyanga akili za viongozi wetu hasa wa kitaifa .

Hiki kiwanda ni muhimu maana sasa taasisi za elimu hasa vyuo vikuu vimebainika kuandaa wale wanaoitwa "wapumbavu". Leo ni nwazi kuwa wasomi wetu wamesaliti wanyonge na kukimbilia tabaka tawala na mwishowe kuonekana sasa ni wapumbavu.

Viongozi wetu wa kitaifa wanahitaji kufinyangwa akili zao ili zisipoteze kumbukumbu kwamba jitihada za yote yanayofanywa yilitendwa na viongozi wa CCM hihi hii leo iliyopo madarakani. Ni Viongozi wa nchi waliotokana na CCM ndio waliharibu mikataba na kuruhusu upigaji wa ACCASiIA na makampuni mengine. Ni viongozi hao waliopitisha mikataba mibopvu na hewa na ndio walioruhusu huu unyonyaji kwa nchi yetu.

Hiki kliwanda kiwafundishe viongozi wetu maana ya utu na umoja wa kitaifa namna unavyopaswa kulindwa na kuenziwa. Kifundishe maana ya neno heshima, nidhamu na kutofautishwa na uwoga na uzandiki, chuki na kiburi ambavyo leo vimetamalaki.

Kiufupi hiki kiwanda kisisahauliwe hata kidogo.

Katika viwanda vyote hiki ni muhimu kuliko vyote.



Mungu ibariki Tanzania.
 
Kama boss wao anawaita wahudumu wa ndege "Air Hostage" basi wazo lako ni la msingi sana!
 
Nafikiri tusipende ku generalize kuwa kila aliye CCM ni kiongozi mbaya hapo si sawa. Hata upinzani kuko na viongozi mbofu kbs. Tumhukumu mtu binafsi na ubaya wake na si chama. Dunia sio mbaya ila binadamu ndio wabaya.



Na dunia ndio binadamu, bila binadamu dunia si chochote ni sawa na gari likose injini.
 
Back
Top Bottom