Mbona Star times na Ting tunalipia chanel za FTA na wao bado wanaendelea kuzirusha na hawajafungiwa kama Azam na Zuku...?

Brice85

JF-Expert Member
Oct 18, 2015
869
1,752
Wanabodi nimekuwa nafuatilia sana hili sakata la ving'amuzi kuzuiwa kirusha matangazo lakini binafsi naona kuna zaidi ya sheria nyuma yake.
Kwa mfano wanadai kuwa chaneli zote zilizosajilowa kwa leseni ya free to air (FTA) zinapaswa kurushwa na kuonekana bure. Lakini hawa jamaa wa TING na Startimes wenyewe wanatulipisha miaka na miaka ila wao wanaonekana ni malaika.

Nianze na startimes wao kifurushi kikiisha hata TBC kwa ving'amuzi vya dishi hupati ila wao wanadai vile vya antena ni bure huku vile vya antena havikamati nchi nzima kwa mapana yake ndio maana wakaleta madishi kwa sisi tulio mbali na minara yao ya antena. Cha kushangaza hawa startimes wao malaika katika hili walifunga chanel hizi za bure juzi juzi kwa muda mfupi siku chache baada ya azam, zuku na dstv kufunga lakini baadae wakazifungua mpaka leo.
Kwakuwa sheria ni msumeno naona na wao hii sheria iwaume kwani nao wanamakosa mengi tu.

Kwa hawa TING nao ndio yale yale ila hawa afadhari kwani wao angalau TBC huwa wanaicha baada ya king'amuzi chako kumaliza kifurushi lakini hii sio sababu wani hata azam nao huwa wanaiacha TBC bureeee.
Nimesoma humu aliosema mwakwembe nikajiuliza sasa nani anaafadhali mbona wote wameoza?

Kama suala la kuweka mitambo nchini hili silisemei kwani sheria zake wanazijua lakini kwa suala la chanel za bure hawa wote wanapaswa kulipa wateja gharama zote walizowatoza wateja wao kwani wate wamekosa na hakuna alie kuwa sahihi hata mmoja kwa kuanzia na Startimes, TING, zuku, dstv.
Wengine kama continento na digitek siwazungumzii kwani sijawai kuwatumia na sijui hata vifurushi vyake nawazungumzia ninao wajua waliotuibia fedha lakini bado wengine naona kama wanabaguliwa na kuwa malaika kwenye kundi la wanyang'anyi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili swala ni kama magonjwa mtambuka... halielezwi vizuri ni tatizo haswa... naomba hata kuwe na zile habari za kuungana mfano star tv na BBC ktk Dira ya Dunia hapa ndipo nchi itakaa sawa... maana kuna usanii mwingi... nazani kuna watu wana nufaika hapa...
 
Wanabodi nimekuwa nafuatilia sana hili sakata la ving'amuzi kuzuiwa kirusha matangazo lakini binafsi naona kuna zaidi ya sheria nyuma yake.
Kwa mfano wanadai kuwa chaneli zote zilizosajilowa kwa leseni ya free to air (FTA) zinapaswa kurushwa na kuonekana bure. Lakini hawa jamaa wa TING na Startimes wenyewe wanatulipisha miaka na miaka ila wao wanaonekana ni malaika.

Nianze na startimes wao kifurushi kikiisha hata TBC kwa ving'amuzi vya dishi hupati ila wao wanadai vile vya antena ni bure huku vile vya antena havikamati nchi nzima kwa mapana yake ndio maana wakaleta madishi kwa sisi tulio mbali na minara yao ya antena. Cha kushangaza hawa startimes wao malaika katika hili walifunga chanel hizi za bure juzi juzi kwa muda mfupi siku chache baada ya azam, zuku na dstv kufunga lakini baadae wakazifungua mpaka leo.
Kwakuwa sheria ni msumeno naona na wao hii sheria iwaume kwani nao wanamakosa mengi tu.

Kwa hawa TING nao ndio yale yale ila hawa afadhari kwani wao angalau TBC huwa wanaicha baada ya king'amuzi chako kumaliza kifurushi lakini hii sio sababu wani hata azam nao huwa wanaiacha TBC bureeee.
Nimesoma humu aliosema mwakwembe nikajiuliza sasa nani anaafadhali mbona wote wameoza?

Kama suala la kuweka mitambo nchini hili silisemei kwani sheria zake wanazijua lakini kwa suala la chanel za bure hawa wote wanapaswa kulipa wateja gharama zote walizowatoza wateja wao kwani wate wamekosa na hakuna alie kuwa sahihi hata mmoja kwa kuanzia na Startimes, TING, zuku, dstv.
Wengine kama continento na digitek siwazungumzii kwani sijawai kuwatumia na sijui hata vifurushi vyake nawazungumzia ninao wajua waliotuibia fedha lakini bado wengine naona kama wanabaguliwa na kuwa malaika kwenye kundi la wanyang'anyi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka chaneli za FTA ( za bure) unatakiwa ulipe shilingi 25,000/= bila hivyo haupati kitu.
 
Mkuu juzi juzi kuna mtu kusimbuzi chake cha Star times kilikuwa na shida, tukaenda offisini kwao. Moja ya malalamiko ya watu ilikuwa hili swala lako.
Jibu ilikuwa kama mtu umenunua kisimbuzi chako chini ya Tsh 135, 000/= basi wewe utaendelea kulipia lkn kama utaongeza hela kufikia hiyo Tsh 135,000/= basi utaziona hizo channels hata kama hujalipia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu juzi juzi kuna mtu kusimbuzi chake cha Star times kilikuwa na shida, tukaenda offisini kwao. Moja ya malalamiko ya watu ilikuwa hili swala lako.
Jibu ilikuwa kama mtu umenunua kisimbuzi chako chini ya Tsh 135, 000/= basi wewe utaendelea kulipia lkn kama utaongeza hela kufikia hiyo Tsh 135,000/= basi utaziona hizo channels hata kama hujalipia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wananchi watakoma kuijua ccm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwenye maswala yahusiyo huduma ndogo ndogo za kijamii hatujawahi kufanikiwa!!
 
Kuna sheria ilitungwa wakati ule tunatoka analog na kwenda digital. Ukiacha television ya taifa (TBC) ambayo inaweza rushwa popote, ukitaka kurusha television za ndani mitambo yako lazima iwe ndani ya Tanzania.
Azam, DSTV na Zuku hawana mitambo Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi nimekuwa nafuatilia sana hili sakata la ving'amuzi kuzuiwa kirusha matangazo lakini binafsi naona kuna zaidi ya sheria nyuma yake.
Kwa mfano wanadai kuwa chaneli zote zilizosajilowa kwa leseni ya free to air (FTA) zinapaswa kurushwa na kuonekana bure. Lakini hawa jamaa wa TING na Startimes wenyewe wanatulipisha miaka na miaka ila wao wanaonekana ni malaika.

Nianze na startimes wao kifurushi kikiisha hata TBC kwa ving'amuzi vya dishi hupati ila wao wanadai vile vya antena ni bure huku vile vya antena havikamati nchi nzima kwa mapana yake ndio maana wakaleta madishi kwa sisi tulio mbali na minara yao ya antena. Cha kushangaza hawa startimes wao malaika katika hili walifunga chanel hizi za bure juzi juzi kwa muda mfupi siku chache baada ya azam, zuku na dstv kufunga lakini baadae wakazifungua mpaka leo.
Kwakuwa sheria ni msumeno naona na wao hii sheria iwaume kwani nao wanamakosa mengi tu.

Kwa hawa TING nao ndio yale yale ila hawa afadhari kwani wao angalau TBC huwa wanaicha baada ya king'amuzi chako kumaliza kifurushi lakini hii sio sababu wani hata azam nao huwa wanaiacha TBC bureeee.
Nimesoma humu aliosema mwakwembe nikajiuliza sasa nani anaafadhali mbona wote wameoza?

Kama suala la kuweka mitambo nchini hili silisemei kwani sheria zake wanazijua lakini kwa suala la chanel za bure hawa wote wanapaswa kulipa wateja gharama zote walizowatoza wateja wao kwani wate wamekosa na hakuna alie kuwa sahihi hata mmoja kwa kuanzia na Startimes, TING, zuku, dstv.
Wengine kama continento na digitek siwazungumzii kwani sijawai kuwatumia na sijui hata vifurushi vyake nawazungumzia ninao wajua waliotuibia fedha lakini bado wengine naona kama wanabaguliwa na kuwa malaika kwenye kundi la wanyang'anyi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu maelozo hayo hapo
Screenshot_2018-08-28-15-26-03.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hewa jamaa wanalipa kodi serikalini, wanalipa wafanyakazi wao, wanalipa bili za umeme, simu, maji na satellite, sasa wakitoa huduma bure watajiendeshaje kama kampuni?! Haya ni madhara ya kupenda vya BURE!! Cha msingi serikali kupitia TBC, wazindue king'amuzi chao cha bure kwa wapenda dezo na sisi tuliozoea kulipa watuache, kwa nini hela yangu ipangiwe matumizi? ( Povu ruksa)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom