Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,916
Karume mchikichin ujenzi unaendelea
Km mungu akitujaalia uhai na afya njema Inshaaallah.Tutarudi kuwasha mshumaa mwakani tena mwezi kama huu mpaka mtoke ndani ya mji mhamie kisarawe.
Mateja ni sehemu ndogo mno ya tatizoWekeni ulinzi mateja wasiwashe tena mshumaa....
Jambo la mwanzo inabid wapatikane hao viongoz alaf wakipatikana waangalie namna ya kuwezesha jambo km hili sijirudie tenaUongozi wa soko wasiruhusu mateja kukaa umo usiku.
kama kweli wao ndo sababu ya kuungua kwa soko.
Wametajwa hao ili kufunika kombeNa Muwachunge Wawasha Mishumaa na Wazee Wa Msuba, Unga n.k.
Ndio hao hao !!!Wametajwa hao ili kufunika kombe