Tunaelekea wapi?: PhD holders kuwa wanasiasa, na Re-Advertized jobs kwa walimu wa vyuo vikuu

Tcu kazen hivyi hivyo maana hatuwez kuajir walimu wasio na qualification kisa kuna uhaba wa wenye sifa.Kuliko hivyo ajiri kutoka nchi nyingine,.. Tuache kushusha elimu yetu
Sasa ukiajiri kutoka nchi nyingine, utatumia mfumo gani wa GPA! Maana kila nchi ina mfumo wake! Unaweza kuta kilaza katoka nchi ya nje wao kuwa na GPA ya 3.8, ni sawa na kuwa na 2.5 bongo! Hapo utakuwa umeruka mkojo umekanyaga knyesi!
 
Kiukweli kwenye kada ya science tuna upungufu wa skilled personnel.
Niliwahi kutibiwa Agha Khan na dr msichana ametokea ghana na ni mghana. Na alikuwa akimtibu mwanangu ikapelekea kuongea zaidi na kumfahamu. Yeye na mume wake wote ni waghana na wamekuja bongo kutafuta maisha. Graduate wa Nigeria,ghana wengi wanakuja kutafuta kazi hapa bongo.
Kuna mnigeria hapo boko chasimba ana nyumba kubwa tuu anaishi na anajulikana kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pole sana kwa kuumiza kichwa kwa manufaa ya taifa hili, mimi hili jambo limekuwa likinisumbua sana, watanzania ajira hatuna au tunawapa wenzetu wa mataifa mengine kwa kisingizio cha GPA, hii issue ya GPA ilishawahi kuzungumzwa sana hapa jamvini lakini mpaka leo sijawahi kuridhika. Kwanza nikiri kabisa GPA ni njia mojawapo ya kumfahamu au kumpata mhandhiri mzuri kwa maana ana anaelewa walau kile anachotakiwa kuwapa wanafunzi wake! Je hizi GPA zina uwiano sawa katika taasisi zetu za elimu ya juu? hapa naamanisha mwanachuo aliyehitimu UDSM, IFM, MUHAS, SUA , MZUMBE nk GPA zao zina uzito sawa? Je wahadhiri wa nje tunao waajiri na kuacha vijana wetu tuna husika au tuna uhakika na mfumo wao wa elimu hapa na maanisha tumejidhihirisha na upatikanaji wa GPA zao?.Kama jibu ni sawa basi ni vyema. TATIZO HAPA UPATIKANAJI WA GPA HIZI UNATOFAUTIANA BAINA YA CHUO NA CHUO.
kila kitu kina standard brother,ukiweka holela unategemea nn,acha kanuni zifanye kazi,km mtu anataka kufundisha chuo atie bidii afaulu kwa standard iliyowekwa sio kupiga kelele huku,km kuna ttz lingine sawa lkn hilo la standard hauko sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tcu kazen hivyi hivyo maana hatuwez kuajir walimu wasio na qualification kisa kuna uhaba wa wenye sifa.Kuliko hivyo ajiri kutoka nchi nyingine,.. Tuache kushusha elimu yetu


Well said mkuu!
 
kila kitu kina standard brother,ukiweka holela unategemea nn,acha kanuni zifanye kazi,km mtu anataka kufundisha chuo atie bidii afaulu kwa standard iliyowekwa sio kupiga kelele huku,km kuna ttz lingine sawa lkn hilo la standard hauko sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app


Well said mkuu, itakuwa jambo la ovyo sana kurecruit wanataaluma vyuo vikuu bila kuangalia GPA!
 
sawa kiongozi. nini kifanyike? sisi ni watanzania, tunao nafasi ya kushauri na kutoa mapendekezo hata kama hayawezi kukubalika leo naamini wengi wanaathirika katika mfumo. tafiti ifanyike ili kupata namna bora ya kuweka vigezo bora vya ulinganisho sawia kulingana na dunia ya sasa. kwa mifano hiyo pia kuna vyuo ambavyo vikiona hivyo, wanaweza kuwa wanatoa watu wenye GPA nzuri ili kuwapa fursa za kazi kwa kuitwa ingawa ubora wao unaweza (mzuri au mbaya) kujulikana wakiwa kazini na kuja kutambua kuwa wako chini ya kiwango ni baada ya miaka kadhaa na kuacha walio bora kwa kigezo cha GPA kuathirika.
 
Sasa ukiajiri kutoka nchi nyingine, utatumia mfumo gani wa GPA! Maana kila nchi ina mfumo wake! Unaweza kuta kilaza katoka nchi ya nje wao kuwa na GPA ya 3.8, ni sawa na kuwa na 2.5 bongo! Hapo utakuwa umeruka mkojo umekanyaga knyesi!
GPA ni GPA mkuu, atapata kwa qualification zilizowekwa,nchi zinatofautiana mfumo wa ujumla wa gpa, mfano 5.0 bongo au 4.0 USA,japan na nchi nyingine. Kwa hiyo wataajiriwa kama kawaida 3.8/5.0 au 2.8/4.0 Kitu ni kile kile,hakuna kuchukua chini ya hapo
 
kila kitu kina standard brother,ukiweka holela unategemea nn,acha kanuni zifanye kazi,km mtu anataka kufundisha chuo atie bidii afaulu kwa standard iliyowekwa sio kupiga kelele huku,km kuna ttz lingine sawa lkn hilo la standard hauko sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
hujanielewa, soma vizuri post yangu. kama hoja yako ni ku comply na standard ambayo ni GPA hapa nchini haipo hivyo, vyuo ndani ya nchi hii tuna vigezo tofauti ya kupata GPA, Mfano UDSM ukipata 60-65 ni B+Sawa na average GPA ya 4/5, SUA ukipata 60-64 ni B- Sawa na GPA ya 3.0-3.9/5 hauhitaji kuwa professor hapa, kwa akili za kawaida kabisa hapa hamna usawa wa kutumia harmonized GPA? .Huoni graduate wa UDSM mwenye 60 anasifa ya kuwa mhadhiri lakini mwenye alama hizo hizo wa sua anakosa sifa! ni kwanini? hii ni double standard. TATIZO WENGINE HAPA TUNABISHA KIMHEMUKO TU BILA KUJUA KINACHOZUNGUMZWA NI NINI? ENDELEA KUIMBA
 
GPA ni GPA mkuu, atapata kwa qualification zilizowekwa,nchi zinatofautiana mfumo wa ujumla wa gpa, mfano 5.0 bongo au 4.0 USA,japan na nchi nyingine. Kwa hiyo wataajiriwa kama kawaida 3.8/5.0 au 2.8/4.0 Kitu ni kile kile,hakuna kuchukua chini ya hapo
HII IMEKAAJE? CHUO A ALAMA 60-65 NI B+ (GPA YA 4.0/5), CHUO B ALAMA 60-64 NI B-(GPA 3.0-3.9/5). HUONI MWENYE ALAMA 60 WA CHUO A ATAKUWA NA SIFA ZA KUWA MHADHIRI TENA KWA GPA KUBWA YA NNE (4) LAKINI MWENYE ALAMA KAMA HIZO HIZO WA CHUO B ATAKOSA SIFA KWA KUWA NA GPA MBAYA YA 3.0/5?
 
hujanielewa, soma vizuri post yangu. kama hoja yako ni ku comply na standard ambayo ni GPA hapa nchini haipo hivyo, vyuo ndani ya nchi hii tuna vigezo tofauti ya kupata GPA, Mfano UDSM ukipata 60-65 ni B+Sawa na average GPA ya 4/5, SUA ukipata 60-64 ni B- Sawa na GPA ya 3.0-3.9/5 hauhitaji kuwa professor hapa, kwa akili za kawaida kabisa hapa hamna usawa wa kutumia harmonized GPA? .Huoni graduate wa UDSM mwenye 60 anasifa ya kuwa mhadhiri lakini mwenye alama hizo hizo wa sua anakosa sifa! ni kwanini? hii ni double standard. TATIZO WENGINE HAPA TUNABISHA KIMHEMUKO TU BILA KUJUA KINACHOZUNGUMZWA
Hii point nzuri sana mkuu! Una hitaji pongezi
 
Yaani wewe comments yako inaendana na uelewa wako. Ongeza bidii katika kupambana na hali yako.
Kakosea wapi mkuu? Huo ndio ukweli kuhusu maisha. Pandisha ubora wa elimu na lipa inavyostahili kwa wale waliofanya vizuri. Mwisho wa siku mahitaji ya msingi ya kila binadamu yanana.
 
Back
Top Bottom