Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,411
- 7,306
Tatizo hili linaweza kuwa limechagizwa na nature ya watanzania tulivyo, na hata walioweka vigezo hivyo waliweka ufaulu huo mkubwa wa gpa ya 3.8 sababu watu wengi kama si wote wataofika ktika gpa hiyo ni watu wenye juhudi,uwezo na mapenzi na elimu na kiuhalisia ni watu wachache sana wa calibre hiyo
Na sisi kama watanzania wengi elimu imepita kombo, mapenzi na elimu hamna maana kuscore chini ya average ya B+ elimu ya chuo mtu kashindwa kuwa na spirit ya elimu. Elimu ya chuo ni rahisi maana mwalimu ndio pia necta huyo huyo isitoshe vitabu na mazingira ya kusomea ni bora kabisa sasa tatizo linabaki kwa vijana wenyewe, kusoma ni mpaka asukumwe na mitihani na si mapenzi natural ya kile anachokisomea. Na kazi ya uhadhiri ni kazi ya watu wenye mapenzi na kitabu na sio watu waliolazimishwa.
Nahitimisha kwa kusema kuwa watu ambao ni academic material ni watu pekeehivyo jamii na viongozi walitambue hilo na pia inabidi kuwe na recruitment policy sababu licha ya kuhitajika vyuoni pia wahadhiri hao hao wanahitajika katika nafasi potential za kiuongozi katika nchi.
Na sisi kama watanzania wengi elimu imepita kombo, mapenzi na elimu hamna maana kuscore chini ya average ya B+ elimu ya chuo mtu kashindwa kuwa na spirit ya elimu. Elimu ya chuo ni rahisi maana mwalimu ndio pia necta huyo huyo isitoshe vitabu na mazingira ya kusomea ni bora kabisa sasa tatizo linabaki kwa vijana wenyewe, kusoma ni mpaka asukumwe na mitihani na si mapenzi natural ya kile anachokisomea. Na kazi ya uhadhiri ni kazi ya watu wenye mapenzi na kitabu na sio watu waliolazimishwa.
Nahitimisha kwa kusema kuwa watu ambao ni academic material ni watu pekeehivyo jamii na viongozi walitambue hilo na pia inabidi kuwe na recruitment policy sababu licha ya kuhitajika vyuoni pia wahadhiri hao hao wanahitajika katika nafasi potential za kiuongozi katika nchi.