Tunachokosea wanamabadiliko! litatutafuna october 25

Nic..

Senior Member
Jul 22, 2014
145
160
Kma wewe ni mfuatiliaji mzuri wa siasa za kimataifa, utakubaliana na mimi kwamba:

Chama kikuu cha upinzani Huwa na watu wengi zaidi kwenye mikutano yao kuliko vyama tawala.

Kwanini Mwisho wa siku chama tawala hushinda??

(Kwa asili, chama kikuu cha upinzani huwa kinajaza watu wengi zaidi mikutanoni kwa kuwa watu wanataka kujua wanajipya gani???) sasa hiyo inawafanya wahisi wale wote ni wapiga kura wao.... Tujenge hoja ndugu zangu teammabadiliko, sisi ni binadamu, sio nyumbu! hii ni nchi ya kidemokrasia sio ya kidikteta!, na hii ni Tanzania sio zimbabwe/uganda/burkinafaso wala korea kaskazini!

TUNACHOKOSEA WANAMABADILIKO.

1. Kupumbazwa na NYOMI Na kuhisi wote waliokuja pale ni wapiga kura wetu, au wote waliokuja pale hawakuwepo kwenye mkutano wa chama tawala!

2.Kuwashanbulia watu kwa kuwa wanakosoa/kushauri tu ni TATIZO kubwa. Matokeo yake kunafanya wengi kumsapoti Magufuli "kimyakimya" na kuikaanga ukawa atakapokuwa peke yake kwenye chumba cha kupigia kura. Nakubaliana na utafiti wa TWAWEZA kwani Magufuli ana kundi kubwa sana la
mashabiki ambao wanajidai neutral au teamMabadiliko kwa kuogopa kuonekana wako "Out of fashion" lakini mioyon mwao wana ajenda tofauti kabisa.

3. Kuhisi Mabadiliko ni lowasa tu Tumesahau kabisa kuwa kuna ubunge na udiwani. Nguvu kubwa inatumika kumnadi lowasa na hakuna anayefikiria juu ya wabunge na madiwani. Mabadiliko bila baraza imara la mawaziri ni Sifuri!
 
Kma wewe ni mfuatiliaji mzuri wa siasa za kimataifa, utakubaliana na mimi kwamba:

Chama kikuu cha upinzani Huwa na watu wengi zaidi kwenye mikutano yao kuliko vyama tawala.

Kwanini Mwisho wa siku chama tawala hushinda??

(Kwa asili, chama kikuu cha upinzani huwa kinajaza watu wengi zaidi mikutanoni kwa kuwa watu wanataka kujua wanajipya gani???) sasa hiyo inawafanya wahisi wale wote ni wapiga kura wao.... Tujenge hoja ndugu zangu teammabadiliko, sisi ni binadamu, sio nyumbu! hii ni nchi ya kidemokrasia sio ya kidikteta!, na hii ni Tanzania sio zimbabwe/uganda/burkinafaso wala korea kaskazini!

TUNACHOKOSEA WANAMABADILIKO.

1. Kupumbazwa na NYOMI Na kuhisi wote waliokuja pale ni wapiga kura wetu, au wote waliokuja pale hawakuwepo kwenye mkutano wa chama tawala!

2.Kuwashanbulia watu kwa kuwa wanakosoa/kushauri tu ni TATIZO kubwa. Matokeo yake kunafanya wengi kumsapoti Magufuli "kimyakimya" na kuikaanga ukawa atakapokuwa peke yake kwenye chumba cha kupigia kura. Nakubaliana na utafiti wa TWAWEZA kwani Magufuli ana kundi kubwa sana la
mashabiki ambao wanajidai neutral au teamMabadiliko kwa kuogopa kuonekana wako "Out of fashion" lakini mioyon mwao wana ajenda tofauti kabisa.

3. Kuhisi Mabadiliko ni lowasa tu Tumesahau kabisa kuwa kuna ubunge na udiwani. Nguvu kubwa inatumika kumnadi lowasa na hakuna anayefikiria juu ya wabunge na madiwani. Mabadiliko bila baraza imara la mawaziri ni Sifuri!
Samahani, na wewe unafanya kazi twaweza? Nauliza tu.
 
Kma wewe ni mfuatiliaji mzuri wa siasa za kimataifa, utakubaliana na mimi kwamba:

Chama kikuu cha upinzani Huwa na watu wengi zaidi kwenye mikutano yao kuliko vyama tawala.

Kwanini Mwisho wa siku chama tawala hushinda??

(Kwa asili, chama kikuu cha upinzani huwa kinajaza watu wengi zaidi mikutanoni kwa kuwa watu wanataka kujua wanajipya gani???) sasa hiyo inawafanya wahisi wale wote ni wapiga kura wao.... Tujenge hoja ndugu zangu teammabadiliko, sisi ni binadamu, sio nyumbu! hii ni nchi ya kidemokrasia sio ya kidikteta!, na hii ni Tanzania sio zimbabwe/uganda/burkinafaso wala korea kaskazini!

TUNACHOKOSEA WANAMABADILIKO.

1. Kupumbazwa na NYOMI Na kuhisi wote waliokuja pale ni wapiga kura wetu, au wote waliokuja pale hawakuwepo kwenye mkutano wa chama tawala!

2.Kuwashanbulia watu kwa kuwa wanakosoa/kushauri tu ni TATIZO kubwa. Matokeo yake kunafanya wengi kumsapoti Magufuli "kimyakimya" na kuikaanga ukawa atakapokuwa peke yake kwenye chumba cha kupigia kura. Nakubaliana na utafiti wa TWAWEZA kwani Magufuli ana kundi kubwa sana la
mashabiki ambao wanajidai neutral au teamMabadiliko kwa kuogopa kuonekana wako "Out of fashion" lakini mioyon mwao wana ajenda tofauti kabisa.

3. Kuhisi Mabadiliko ni lowasa tu Tumesahau kabisa kuwa kuna ubunge na udiwani. Nguvu kubwa inatumika kumnadi lowasa na hakuna anayefikiria juu ya wabunge na madiwani. Mabadiliko bila baraza imara la mawaziri ni Sifuri!
Wewe ni CCM unataka kutuaminisha ktk kushindwa, trh 25 CCM out
 
Kuna ukweli flani kwa uliyoyaandika lakini hata sidhani kama Ukawa wanajaza watu wengi zaidi ya CCM sema kwao neno nyomi imekuwa km ilani.
 
Kma wewe ni mfuatiliaji mzuri wa siasa za kimataifa, utakubaliana na mimi kwamba:

Chama kikuu cha upinzani Huwa na watu wengi zaidi kwenye mikutano yao kuliko vyama tawala.

Kwanini Mwisho wa siku chama tawala hushinda??

(Kwa asili, chama kikuu cha upinzani huwa kinajaza watu wengi zaidi mikutanoni kwa kuwa watu wanataka kujua wanajipya gani???) sasa hiyo inawafanya wahisi wale wote ni wapiga kura wao.... Tujenge hoja ndugu zangu teammabadiliko, sisi ni binadamu, sio nyumbu! hii ni nchi ya kidemokrasia sio ya kidikteta!, na hii ni Tanzania sio zimbabwe/uganda/burkinafaso wala korea kaskazini!

TUNACHOKOSEA WANAMABADILIKO.

1. Kupumbazwa na NYOMI Na kuhisi wote waliokuja pale ni wapiga kura wetu, au wote waliokuja pale hawakuwepo kwenye mkutano wa chama tawala!

2.Kuwashanbulia watu kwa kuwa wanakosoa/kushauri tu ni TATIZO kubwa. Matokeo yake kunafanya wengi kumsapoti Magufuli "kimyakimya" na kuikaanga ukawa atakapokuwa peke yake kwenye chumba cha kupigia kura. Nakubaliana na utafiti wa TWAWEZA kwani Magufuli ana kundi kubwa sana la
mashabiki ambao wanajidai neutral au teamMabadiliko kwa kuogopa kuonekana wako "Out of fashion" lakini mioyon mwao wana ajenda tofauti kabisa.

3. Kuhisi Mabadiliko ni lowasa tu Tumesahau kabisa kuwa kuna ubunge na udiwani. Nguvu kubwa inatumika kumnadi lowasa na hakuna anayefikiria juu ya wabunge na madiwani. Mabadiliko bila baraza imara la mawaziri ni Sifuri!

exactly point no.1 ndiyo yenyewe uwingi wa watu...watu hawajui uvutiaji wa watu wanaotaka kusikia narudia kusikia watu toka upande mwingine na wenyewe wana nini cha kusema...not necessarily watapiga kura...
 
Kma wewe ni mfuatiliaji mzuri wa siasa za kimataifa, utakubaliana na mimi kwamba:

Chama kikuu cha upinzani Huwa na watu wengi zaidi kwenye mikutano yao kuliko vyama tawala.

Kwanini Mwisho wa siku chama tawala hushinda??

(Kwa asili, chama kikuu cha upinzani huwa kinajaza watu wengi zaidi mikutanoni kwa kuwa watu wanataka kujua wanajipya gani???) sasa hiyo inawafanya wahisi wale wote ni wapiga kura wao.... Tujenge hoja ndugu zangu teammabadiliko, sisi ni binadamu, sio nyumbu! hii ni nchi ya kidemokrasia sio ya kidikteta!, na hii ni Tanzania sio zimbabwe/uganda/burkinafaso wala korea kaskazini!

TUNACHOKOSEA WANAMABADILIKO.

1. Kupumbazwa na NYOMI Na kuhisi wote waliokuja pale ni wapiga kura wetu, au wote waliokuja pale hawakuwepo kwenye mkutano wa chama tawala!

2.Kuwashanbulia watu kwa kuwa wanakosoa/kushauri tu ni TATIZO kubwa. Matokeo yake kunafanya wengi kumsapoti Magufuli "kimyakimya" na kuikaanga ukawa atakapokuwa peke yake kwenye chumba cha kupigia kura. Nakubaliana na utafiti wa TWAWEZA kwani Magufuli ana kundi kubwa sana la
mashabiki ambao wanajidai neutral au teamMabadiliko kwa kuogopa kuonekana wako "Out of fashion" lakini mioyon mwao wana ajenda tofauti kabisa.

3. Kuhisi Mabadiliko ni lowasa tu Tumesahau kabisa kuwa kuna ubunge na udiwani. Nguvu kubwa inatumika kumnadi lowasa na hakuna anayefikiria juu ya wabunge na madiwani. Mabadiliko bila baraza imara la mawaziri ni Sifuri!

Hebu Tafakari upya Mkuu, nahisi hoja ni nyepesi sana.

1. Wingi wa watu utakuwepo tu, na utaongezeka. Miaka ya nyuma kila chama kilikuwa kivyake leo hii kuna muungano wa kudai Katiba mpya, UKAWA. Wingi wa watu utakuwepo kwani si chama kimoja tena. Na kwa hoja nyepesi hii, huoni kwamba hata wanaokwenda kwa Magufuli wapo ambao wanaenda kuona show tu(Magufuli akifanya Push ups/Press ups, au wasanii wa Bongo movie) na si wapiga kura pia? Au hii iko UKAWA tu?

Pili kwa hali ya sasa ni ngumu, narudia tena ni NGUMU kwa mwananchi wa kawaida kwenda mkutanoni(mikutano ya chama zaidi ya kimoja mf. Chama tawala na vile vya upinzani, unless useme kwamba analipwa).


2. Pengine utakuwa umerudi nchini juzi au si mfuatiliaji wa vyombo 'HURU' vya habari. Ni katika mwaka huu wa uchaguzi kampeni na mikutano takribani yote ya vyama vya upinzani imekuwa ya amani, kistaarabu tofauti na ile ya Chama tawala iliyojawa na Matusi, Kejeli, Matumizi mabaya ya madaraka na uvunjifu wa sheria(mf. muda wa kufunga mikurano n.k)


3.. Pengine fanya uchunguzi/utafiti mdogo wewe mwenyewe, leo hii wanaCCM wenyewe wanasema, "Udiwani na Ubunge kura yangu ni kwa Upinzani, Urais itakuwa kwa Magufuli" . Ukweli ni kwamba Upinzani umejikita zaidi kuhusu Udiwani na Ubunge(hawahitaji kampeni kubwa. Issue imebaki Urais tu, ambayo kwa maoni yangu wako vyema hila zote za wapinzani wao(CCM) wamezikwepa na watazikwepa.


I also tend to think utafiti 'RAHISI' wa TWAWEZA na uzi huu mwepesi ni moja wapo ya kutaka kuhafifisha uimara wa UKAWA, lakini watalishinda pia.
 
hivi nauliza uchaguzi wa tz wanaogombea wanaahidi nini lipya?mi mkenya,just curious maana sielewi siasa zenu,zinafanana na vioja tu.
 
CCM ndio hawana jipya..wao wamekuwa na ahadi za uongo kwa miaka zaidi ya 50.

Lini ahadi za UKAWA tulizitumia hapa kwetu tz? na kwanini mliwaondoa? yani anapewa adithi ya kitoto na ww bila kufikiria kwa makini unaamini, WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAALIFA-si maneno yangu!
 
Back
Top Bottom