johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,119
Jana nimefuatilia Mazingira ya Zanzibar na hasa Umoja wao nikagundua wale Watu wanajitambua sana
Nadhani mabadiliko ya kubadilisha Chama Tawala yatawahusu Zanzibar hata kama ni Miaka 20 Ijayo
Baada ya ACT Wazalendo Kuchaguliwa Zanzibar ndio itawaamsha Chadema na Watanganyika wote kutoka Usingizini
Nimewaona ACT Wazalendo ya Zanzibar siyo Watu wa Maigizo
Dominica Njema 😄🔥
Nadhani mabadiliko ya kubadilisha Chama Tawala yatawahusu Zanzibar hata kama ni Miaka 20 Ijayo
Baada ya ACT Wazalendo Kuchaguliwa Zanzibar ndio itawaamsha Chadema na Watanganyika wote kutoka Usingizini
Nimewaona ACT Wazalendo ya Zanzibar siyo Watu wa Maigizo
Dominica Njema 😄🔥