Hii nchi tumepigwa sana unaweza kuta kuna dalali hapa kati kapiga mchongo kachukua tenda na hakuna kitu kama UAE hii nchi tumepigwa left right and center
Kampuni kama hiyo tokea Dubai illimbwa sana wakati Mjomba Magu akiwa bado Raisi.
Ila mleta habari ametuchia kitendawili,Sisi tunachotaka ni huduma rahisi,salama na haraka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.