brasy coco
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 1,489
- 900
Tumefikilia jambo hili tukapata majibu kwamba bado tunahitaji CCM, tunajua yapo mapungufu, na hakuna hasiye na mapungufu.
CCM wanapigania usawa na kuondoa ubaguzi miongoni mwa jamii husika, CCM inanifanya nilinge pindi ninaptembea katika barabara zilizo nzuri, siwezi kuipigia CUF hata kidogo. CCM tofauti na vyama vingne hili nakubali.......kwa Zanzibar watu wa bara lazima tuipgie kura CCM tena kwa nguvu zote maana hiki ndicho chama kinacholeta umoja kwetu hiki ndicho chama kinachotaka maendeleo ya kila mmoja pasi na kuangalia uzawa wake tofauti na CUF, Yes hatuwezi kwenda tofauti na hili, tunaona manyanyaso tunayoyapata na ubaguzi toka kwa wapemba halafu leo CUF wapewe Nchi unadhan patakalika? Haiwezekani hakuna aliyechizi akaipigia kula CUF kwa huku Znz kwa upande wa wabongo yes tunasababu ya kufanya hili.
Sina chama lakini ntafikilia siku niende chama gani. But CCm tunawahitaji na hili ndilo litanifanya nizidi kuiombea Dua utawala wake udumu na wafanye mabadiliko ya kweli, wote mafisadi wafungwe na haki zitendeke ni chama kizuri kinachafuliwa na wachache.
VIVA CCM ALWAYS CCM
CCM wanapigania usawa na kuondoa ubaguzi miongoni mwa jamii husika, CCM inanifanya nilinge pindi ninaptembea katika barabara zilizo nzuri, siwezi kuipigia CUF hata kidogo. CCM tofauti na vyama vingne hili nakubali.......kwa Zanzibar watu wa bara lazima tuipgie kura CCM tena kwa nguvu zote maana hiki ndicho chama kinacholeta umoja kwetu hiki ndicho chama kinachotaka maendeleo ya kila mmoja pasi na kuangalia uzawa wake tofauti na CUF, Yes hatuwezi kwenda tofauti na hili, tunaona manyanyaso tunayoyapata na ubaguzi toka kwa wapemba halafu leo CUF wapewe Nchi unadhan patakalika? Haiwezekani hakuna aliyechizi akaipigia kula CUF kwa huku Znz kwa upande wa wabongo yes tunasababu ya kufanya hili.
Sina chama lakini ntafikilia siku niende chama gani. But CCm tunawahitaji na hili ndilo litanifanya nizidi kuiombea Dua utawala wake udumu na wafanye mabadiliko ya kweli, wote mafisadi wafungwe na haki zitendeke ni chama kizuri kinachafuliwa na wachache.
VIVA CCM ALWAYS CCM