Tuna mface Katibu mkuu wa Wizara ya Elimu(Mikopo )

Jul 3, 2011
8
0
tukiwa kama chama cha Haki za binadamu tumeungana na LHRC kufuatilia hali tete ya wanafunzi asilimia 30.7 kukosa mikopo↲
Pamoja tunaweza toeni mawazo
 
2nashukuru vijana kwa kuztambua haki zenu.ila nawaomben 2 aman itawale ktk kudai hzo haki.kila la heri.
 
Yap! Hapo kitaeleweka, mi mchango wangu ni huu kwann, wasio na wazaz hawakuwapewa kipaumbele? Na km bajet ilikuwa ndugu, kwann hawakugaia asilimia mf. 50 ili kila mtu apate, hvyo ingepunguza mzigo huu mkubwa badala yake kila mzaz angejitahid kuchangia kile kilochabak?.
 
tukiwa kama chama cha Haki za binadamu tumeungana na LHRC kufuatilia hali tete ya wanafunzi asilimia 30.7 kukosa mikopo&#8626;<br />
Pamoja tunaweza toeni mawazo
<br />
<br />
mmekosa kazi ya kufanya. Hao LHRC wameshindwa swala la DOWANS wamehamia mikopo.
 
mkitambua kuwa msafara wa mamba na kenge wamo hamtamshangaa huyo jibwa.kazi njema wakuu
 
Back
Top Bottom