nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,674
- 14,052
Naam, ashakum si matusi inauma lakini yaweza kuwa dawa.
Zamani mtu akimaliza darasa la saba alikuwa anakuwa na uwezo wa kukabiliana na changamoto zinazomzunguka,
Naweza kuamini kwamba baadhi ya masomo kama vile Sayansi kimu,sanaa,michezo na kilimo yalikuwa ni sababu ya kuwaimarisha kimwili kiakili na kiroho bila kusahau masomo ya Dini.
Kwa sasa sijui watoto huko shuleni wanafanya nini,,,kimsingi naona kama wanapoteza muda tu sababu Elimu haiwasaidii bora wale wanaozungukwa na migodi wanafanya mambo ya maana kuliko hawa wa vipsi kum yai,
Zamani ukienda nyumba ya mtoto aliyemaliza form four inakuwa tofauti sana na nyumba isiyokuwa na mtoto mwenye Elimu hiyo,,,utakuta nyumba mazingira safi ...imepangiliwa vyema kama kuna kaeneo kidogo utakuta amelima bustani ya mboga kwa nyuma na mauwa kwa mbele...wazazi wanaweza kumsapoti wakatiamo na tumfugo,
Nyumba ya watoto wa darasa la saba angalau utakuta kuna mradi wa sungura tu kuku bstani ya mboga na tubiashara twa kuchuuza,
EEee bana eeeh ngoja niishie hapa napata hasira na kutaka KUMTUKANENI MAMAAAE
Zamani mtu akimaliza darasa la saba alikuwa anakuwa na uwezo wa kukabiliana na changamoto zinazomzunguka,
Naweza kuamini kwamba baadhi ya masomo kama vile Sayansi kimu,sanaa,michezo na kilimo yalikuwa ni sababu ya kuwaimarisha kimwili kiakili na kiroho bila kusahau masomo ya Dini.
Kwa sasa sijui watoto huko shuleni wanafanya nini,,,kimsingi naona kama wanapoteza muda tu sababu Elimu haiwasaidii bora wale wanaozungukwa na migodi wanafanya mambo ya maana kuliko hawa wa vipsi kum yai,
Zamani ukienda nyumba ya mtoto aliyemaliza form four inakuwa tofauti sana na nyumba isiyokuwa na mtoto mwenye Elimu hiyo,,,utakuta nyumba mazingira safi ...imepangiliwa vyema kama kuna kaeneo kidogo utakuta amelima bustani ya mboga kwa nyuma na mauwa kwa mbele...wazazi wanaweza kumsapoti wakatiamo na tumfugo,
Nyumba ya watoto wa darasa la saba angalau utakuta kuna mradi wa sungura tu kuku bstani ya mboga na tubiashara twa kuchuuza,
EEee bana eeeh ngoja niishie hapa napata hasira na kutaka KUMTUKANENI MAMAAAE