tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,121
- 534
Wandugu wapendwa kwanini Jf tusimteue Rais wetu?
Tuwe na wabunge wetu ambao tunawachagua wenyewe.
Mawaziri wetu ambao tunawachagua kufuatana na upeo wao.
Ma Polisi wetu ambao watawakamata wote wanaokiuka sheria za JF.
Mahakimu amboa watatoa hukumu ya mtu kuwa ban kwa muda gani.
Madokta tunao lakini tunataka madokta wa ugonjwa wa akili.
Na la muhimu tutachagua chama teule cha Jf kutuwakilisha bungeni.
Happy valentine alllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllll
Tuwe na wabunge wetu ambao tunawachagua wenyewe.
Mawaziri wetu ambao tunawachagua kufuatana na upeo wao.
Ma Polisi wetu ambao watawakamata wote wanaokiuka sheria za JF.
Mahakimu amboa watatoa hukumu ya mtu kuwa ban kwa muda gani.
Madokta tunao lakini tunataka madokta wa ugonjwa wa akili.
Na la muhimu tutachagua chama teule cha Jf kutuwakilisha bungeni.
Happy valentine alllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllll