Romance
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 586
- 159
Ni maelezo...
dadafua zaidi kitu gani sikijui.
Sio lazima kuwa mkali ili usipandwe...
ina mana nyingi na apply na wenye tabia ya kukutongoza kutwa pm.
Ni maelezo...
Sio lazima kuwa mkali ili usipandwe...
KUMBE WEWE NI MWANAMKE nA MWANAKIJIJI NI MWANAUME? NASHUKURU KWA KUNIJUZA NILIKUWA SIJUHI
wala nilikuwa sijuhi jinsia yako, leo ndio nimejuaKilichokufanya udhani mimi ni mwanamme ni kitu gani?!
wala nilikuwa sijuhi jinsia yako, leo ndio nimejua
Wewe hujui jinsi ya kuuhandle upuuzi...
Ok. Sijawahi kudhani kwamba mnakumbana na matongozo huko PM
Topic closed...
Not all the time...
For me ITS ALWAYS GOOD....sipendi kudanganywa hata kama kutamu zaidi ya kuambiwa ukweli!Which is VERY good, but not always...
na yangu ina maaana gani
Clothes Dont Make a Pirate.... au ..
Do they...?
kwahiyo wasiokuwa na AVATAR ni kama ma-GHOST
avata yako inajieleza.
Nakili makosa saba mara 70
Hii thread mbona imekaa kimipasho hivi......lol.....?
acha nisepe zangu......mmh!