Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
hayo yote naelewa lakini ujue kua katika hizi id zote kuna zile zana run sana mimi hapa zizungumzi zile zina miaka 3 post 150 nazungumzia id kama
za akina afrodenzi, lizzy, mwanakijiji, n.k. na hii ya name calling isha wahi nipa burn mara mbili bahati mbaya sana i speak my mind.
BTN lines, burn x2, join 15june 2011! Umekuja kivingine???