Tuna judge kwa Avatar?

hayo yote naelewa lakini ujue kua katika hizi id zote kuna zile zana run sana mimi hapa zizungumzi zile zina miaka 3 post 150 nazungumzia id kama

za akina afrodenzi, lizzy, mwanakijiji, n.k. na hii ya name calling isha wahi nipa burn mara mbili bahati mbaya sana i speak my mind.

BTN lines, burn x2, join 15june 2011! Umekuja kivingine???
 
unaniboa unavyo jitetea ujinga mbaya zaidi haiendani na avata uwezi toa waka kama ya gagurito.

Mi huwa nabadili avatar almost kila siku asubuhi, depending na mood ya siku hiyo...
 
Yaani we umenichekesha sana, umenifanya nirudie kuangalia avetar za hao uliowataja na wengineo, sasa sisi tusio na avetar tunachukuliwaje? hebu nisaidie hapo

Huwa nakuchukulia kama mtangazaji wa kwenye redio. Yaani kama ulivyosema umecheka, nimekuchukulia mtu fulani relaxed, sio kama rafiki zangu nilioanza nao thread...
 
Great thinkers:
TUKO = ROMANCE (Same Person)
Wikiend Njema!


hafadhali inaendana na mada umejileta hio avata yako hapo inaonesha unafikiria ngono kila sa na ni mtu huna mawazo katika mada kabisa

hivyo kujaribu kutafakari kwa kutumia dudu kako badala ya mawazo.
 
leo umechemka mood tofauti na avata.

Kama umeona post zangu za kwenye siasa asubuhi ile ungeelewa. Hata ivo baadae waliniboa, nakaamua kuja kubadili mood humu...
 
Kama umeona post zangu za kwenye siasa asubuhi ile ungeelewa. Hata ivo baadae waliniboa, nakaamua kuja kubadili mood humu...


tafadhali mood yako hapa ni mbovu ikiwezekana badilisha avata ni kitendo cha dakika tu.
 
hafadhali inaendana na mada umejileta hio avata yako hapo inaonesha unafikiria ngono kila sa na ni mtu huna mawazo katika mada kabisa

hivyo kujaribu kutafakari kwa kutumia dudu kako badala ya mawazo.

Punguza munkari mama... This is weekend...
 
tafadhali mood yako hapa ni mbovu ikiwezekana badilisha avata ni kitendo cha dakika tu.


I am buying your idea. By the way this is weekend, sooooooooo.... nakuja na ya kiweekend punde.
 
Back
Top Bottom