FocusedTz11
New Member
- Nov 1, 2023
- 2
- 5
Kama ulipanda hii gari ukiwa mdogo punguza kula chumvi, sukari na nyama nyekundu.Na Pia Nawaambia Vizazi Viipya Hili Gari Ni Peogeut 404 Miaka ya 1964/69 Lilikua Likiuzwa Tsh.3000/= Mpaka 3500/= Mpyaaaaa !🫵. Bei ya kilo moja ya sukari au bia moja na maji makubwa