Ha ha! Mkuu usinivishe joho nisiloliweza huyu mama nilimpenda wakati wa kampeni 2015 alivyokuwa akigombea urais kwa tiketi ya ACT binafsi alikuwa anajibu hoja vizuri hicho ndo kilifanya nimpende fatilia midaharo mwaka 2015.. usiwe mwepesi kuvika mtu joho kiivyo we kalili hai kina polepole wako.
Mkuu nimekusoma.